Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
NI aibu na hatari nchi kutegemea hii CCM ibaki madarakani.CCM yenyewe haijiwezi kila uchaguzi hauna democrasia.Wanapigana kila mahali sasa akina mama wametukanana na pegine kutwangana.Itakuweje wakituwakilisha kupambana na nchi nyingine?
Hao ndio UWT,itabidi CDM wawaumbue ktk kampeni za mwaka 2005.hawa akina mama hawana ethics kabisa.Hii vurugu na matusi ya leo ni aibu tupu.
Hao ndio UWT,itabidi CDM wawaumbue ktk kampeni za mwaka 2005.hawa akina mama hawana ethics kabisa.Hii vurugu na matusi ya leo ni aibu tupu.