Siri kuhusu wajumbe wateule wa tume ya katiba

Ukijua siri zao utajua kama maoni unayotoa yatazingatiwa au yataachwa kwa maagizo ya serikali. Kwa mfano kuna huyu Humphrey Polepole ambaye ameingia kama mwakilishi wa asasi za kiraia. Huyu mkutano wa kupendekeza jina lake kule Dodoma ulivurugika, pamoja kusaidiwa na Ikulu baada ya ya mkutano wake na Kikwete bado alishika nafasi ya tatu. Mapendekezo ya asasi za kiraia wa kwanza alikuwa John Ulanga, wa pili Profesa Ruth Meena wa TGNP lakini Kikwete amewaacha wote akamchukua huyu.

Msimamo wake unajulikana kabla kwa kuwa mara zote alivyozungumza na vyombo vya habari kuhusu muswada mbovu wa sheria ya katiba uliokataliwa na asasi za kiraia yeye alitofautiana na wenzake na kuunga mkono. Uchaguzi ule wa Dodoma tulishuhudia NGO zenye utii kwa serikali zikieleza kuwa haziwataki wanasheria kama Wakili Harold Sungusia wa LHRC kwenye tume ya katiba kwa kuwa atakwenda kupingana na serikali. Hivyo wakataka Kikwete amchague Polepole kutoka TYC ili NGO ambazo zimekuwa zikichochea wananchi nchini kuhusu katiba zisipate uwakilishi wenye nguvu ndani ya tume.

PM

Huyu Humprey Pole pole ni Fisadi ametafuna fedha nyingi sana za wafadhili zilitolewa kwa asasi anayoongoza Tanzania Youth Coalition (TYC) kwa ajili ya kukuza ajira na ujasiriamali miongoni mwa vijna kiasi cha wafadhili mbali mbali kusitisha misaada kwa asasi hiyo.
 
NDUGU haya yote ulyosema yamezingatiwa serikali yetu ni makiini saaana
A
Huu ndio wakati wetu wanahabari na wachambikaliuzi kuanika siri zote tunazozifahamu wajumbe wateule wa tume ya katiba kwa sababu ikulu imesema Rais atawaapisha ijumaa.

Siri hizi zitawezesha usalama wa taifa kumshauri Rais kuacha kuwaapisha wajumbe wenye mashaka, pia makundi ambayo Rais amedai kuwa yameridhika na mapendekezo yataweza kuweka pingamizi pale ambapo mteule hajatokana na ridhaa yao.

Tusiangalie dini wala makabila ya watu walioteuliwa, tuangalie namna walivyoteuliwa iwapo walitokana na makubaliano ya makundi kweli ya wanaowakilisha na tuangalie pia kama kweli wana uwezo na msimamo wa kuhakikisha maoni ya wananchi ndiyo yanayowekwa badala ya mawazo ya watawala.

Kulipaswa kuwe na waliopendekezwa na vyama vya siasa, waliopendekezwa na vyama vya wafanyakazi, asasi za kiraia, taasisi za dini, vyama vya wanataaluma, sekta binafsi na makundi mengine muhimu katika taifa letu.

Weka jina la mjumbe unayemjua katika orodha na siri unazozifahamu kuhusu mjumbe huo. Haya tuanze sasa?

Mimi naanza na Mwenyekiti, ana sifa zote za kuwa mjumbe wa tume lakini sio mwenyekiti kwa kuwa alishawahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya rushwa lakini akakubali ripoti yake isitekelezwe na pia katika siku za karibuni amekuwa akitoa kauli za kikada kama mwanaCCM, Mwenyekiti wa tume hii alipaswa kuwa mtu neutral ingawa Mzee Warioba ana sifa za kuwa mjumbe.

PM
 
NOW there is a battle. Jaribu kujua kuwa mwaka 2015 upo na tutapata serikali yenye sura tofauti kutoka CDM (tunaomba iwe). Mokosa yote yawe ya kukusudia na yasiyoyakukusudia watajubu wanaoharibu. Siku zinakuja hold on----------
 
Mimi nilishasema katika thread moja nina wasi wasi na Jaji Ramadhani, Prof Kabudi, na Esther Mkwizu... isitoshe ni makosa kudhani wana CCM watapoteza asili yao watapenda kuitumia katiba ili waendelee kutawala milele!Leo nimepata jipya kuwa wale waliopata nafasi za 3 ndio waliochaguliwa WHY??? Hivi ukiambiwa chagua mtoto wa kwenga high school priority yako itakuwa mwanafunzi aliyepata DIV III kweli??? Hapa kuna kitu ...
 
DK Salim hafai, kwa sababu alipokuwa waziri wa mabo ya nje alimleta Alafat ktk nchi hii na kuhakikisha anawatukana wayahudi kila mwaka kwa miaka 15. hakututendea haki wakristo na watu wengine tunaowapenda wayahudi kama our spiritual brothers. sasa kama hakujali makundi ya watu wawapendao wayahudi , je atajali makundi mengine ktk jamii yasimlidhissha azma zake? naomba atolewe jinale na asiapishwe.

Hauko sahihi. Ugomvi wa wayahudi na wapalestina wapi na wapi na katiba ya TZ. Wao wanyewe wanashindwa kutatua ugomvi wao ...sasa wewe unataka kununua kesi....!?
 
Mimi nilishasema katika thread moja nina wasi wasi na Jaji Ramadhani, Prof Kabudi, na Esther Mkwizu... isitoshe ni makosa kudhani wana CCM watapoteza asili yao watapenda kuitumia katiba ili waendelee kutawala milele!Leo nimepata jipya kuwa wale waliopata nafasi za 3 ndio waliochaguliwa WHY??? Hivi ukiambiwa chagua mtoto wa kwenga high school priority yako itakuwa mwanafunzi aliyepata DIV III kweli??? Hapa kuna kitu ...
Hivi, umeshasahau kuwa CCM wana tabia ya kuchagua mtu anayeshika nafasi ya tatu katika kura za maoni? Kamuulize Hussen Bashe.
 
Jk hata siku moja hawezi kuchagua mtu bila kumchambua "kitaalamu" kwa masilahi ya chama ! Kamwe hawezi saliti chama. Kitendo cha rais kuwa na haya mamlaka ya kuteua ndio 'sumu' kwenye huu mchakato mzima. Sasa msimuhoji kwanini kachukua chaguo la 3, au 4, au 5 au 20. Akaacha la 1. Maana anauhuru wa kujimwayamwaya!
 
Huyu Humprey Pole pole ni Fisadi ametafuna fedha nyingi sana za wafadhili zilitolewa kwa asasi anayoongoza Tanzania Youth Coalition (TYC) kwa ajili ya kukuza ajira na ujasiriamali miongoni mwa vijna kiasi cha wafadhili mbali mbali kusitisha misaada kwa asasi hiyo.


Hii Scandal nilikuwa nimeisikia lakini sikupata details zake vizuri sana!!
Taarifa ambayo sikuithibitisha ni kwamba ilidaiwa kulikuwa na Mafunzo mbali mbali kutolewa kwa Vijana kama Vile Ujasiriamali ambapo alikuwa ana watoza wakati yeye katika Proposal yake ya Kuiombea hela mradi kashalipwa gharama zote za hiyo tranining!!
 
WASIFU WA SINDE WARIOBA

Tume ya rushwa ilikuwa haina mafanikio......kuteuliwa kwake na Nyerere kuwa mwanasheria Mkuu na Waziri wa sheria kulisukumwa na ukabila..................ametajwa kwenye EPA kuwa kampuni yake ililamba fedha...........hana taswira ya kukeketwa na kukemea wizi na ubadhirifu serikalini..........maoni yangu ni kuwa hatufai kwa sababu anatokana na uozo huu huu uliotufikisha kwenye mtaro huu ambao sasa tumekwama.............

WASIFU WA AUGUSTINE JAJI MKUU MSTAAFU.

Alituzuia kuwa na mgombea binafsi na baada ya kustaafu kujisafisha kuwa uamuzi haukuwa wa haki lakini alibanwa na mashinikizo kutoka Ikulu................Maoni yangu siyo mwana demokrasia au mpenda maendeleo hata chembe..........yeye yupo tayari kusaliti maadili ya kazi yake ili mradi alinde kitumbua chake cha kupita tu.............JK kamweka pale kwa kujua anaweza kumtawala kwa tamaa zake za mkate via a remote control

KABUDI PROFESA


Huyu alitumiwa na Mahakama ya Rufaa kama mshauri wa mahakama hiyo katika kufifilisha haki za watanzania kuwa na mgombea binafsi na JK alifurahishwa sana sasa ni wakati wa kumlipa fadhila tajwa kwa kumpa huu ugali.

wengineo hata hawastahili kuzungumzwa sana kwani sifa hawana wenye sifa tuko nje....................maana JK na virushwa vyake visingeweza kufua dafu na katiba stahiki ingelipatikana.

WAISLAMU KUKITHIRI KWENYE TUME NI TATIZO


hili ni tatuhumiwa ya kuwa ni mdini lakini hakuna shida msema ukweli ni mpenzi wa Mwenyezi Mungu na siku zote ni adui wa mwanadamu..........soma James 4:4 "Adulterers and adulteresses" Do you not know that friendship with the World is enmity with GOD? Whoever wants to be a friend of the World makes himself an enemy of GOD?"


kwa mantiki hiyo ninatamka hadharani ya kuwa hii ni tume ya waislamu kwa kuangalia idadi yao kwenye tume hii ambayo ni karibu robo tatu wakati waislamu ni theluthi moja tu ya jamii nzima................tutegemee kero za waislamu kumalizwa na kero zetu wakristu kuongezeka maradufu.....................chunga mahakama ya kadhi utaona wameipitisha na JK kujivunia kuwa yeye ni mkombozi wa waislamu na huku akitukejeli kuwa anakemea udini..................

AM I saddened by all this........probably not...........................kwa sababu .......................MY GOD JESUS CHRIST IS LARGER THAN THIS PATHETIC LIFE WE ALL ARE PROUD OF................
 
Hata siku moja hakuna katiba itakayopatikana kwa kukosekana mtaalamu mashuhuri wa sheria za katiba katika taifa hili Profesa Issa Shivji, Proff Chris Peter Maina, Harold Sungusia, Bishop Valentino Mokiwa, Tundu Lissu, etc.Kikwete kafanya hivyo kwa maslahi ya ccm.
Hiyo timu ingekuwa angalau na wajumbe 100 wa kitaifa, alafu kila mkoa ukawa na wajumbe 100, wilaya wajumbe 50. Hii ingesababisha wananchi wengi kufikiwa na kutoa maoni yao kirahisi na katiba ya kweli ingeweza kupatikana. Kilichofanyika ni sawa na kupaka rangi upepo.Mungu atusaidie katika hili ili tusije tukaingia katika machafuko
 
ni maajabu ya musa kwa zanzibar kuwa na wajumbe sawa na tanganyika wakati visiwa hivyo havina hata watu milioni 3.hili ni tusi kwa watanganyika ambao kwa karibu miaka hamsini sasa haki zao zimefichwa ndani ya muungano usio na tija.Haingii akilini kwanini tunapelekwa kama gari bovu lisiloweza kutembea.Naomba watanganyika tutafakari jambo hili kwa umakini mkubwa
 
wote wanastahili kuwepo kwenye tume hii.mungu awaongoze watuletee katiba inayotokana na watanzania
 
huyu mleta mada alikuwa amelewa chang'aaaaaaaaaaaa akaibukia kwenye jf na pombe yake,tumsitiri
 
Kama hakuna uwezo wa kubadilikia kwa hii tume basi kuna umuhimu wa kuwaona na kuwasomesha upya hawa namba 3. Kama walikuwa namba 3 ktk makundi inaelekea wanao ubora fulani na kama TISS waliwasomesha basi makundi hayo tena yanapaswa kuwasomesha ili somo la TISS walisahau wapeleke tunayoyataka: mgombea binafsi/pekee likiwemo
 
Dawa ni wanainchi kuwa wakari wakati wa kupitisha au kupiga kura ya kupitisha katiba tukiwaachia magamba imekula kwetu na watoto wetu magamba waliisha jijenga watakwenda ulaya
 
JK asipoangalia hili nalo litasababisha watu waende Ikulu kujadili mambo ambayo hayana msingi sana. Ni hatari watu wanapoonza kudoubt uwezo wa timu kabla ya hata mpambano kuanza.

Tatizo la JK, ataanza kucheka cheka huku anatuumiza. Yeye anajua kabisaa waliopendekezwa wa kwanza na wapili ni majembe basi akaamua kuchukua toleo la mwisho. Hii ndiyo chanzo kikubwa cha kuleta wasiwasi kwa wananchi wengi kama kweli maoni yatakayoandikwa ni yale yaliyotolewa.

Ila mi nina wasi wasi na huyu mkuu JK, hawezi kubadilisha wajumbe akaweka majembe yatakayotoa madaraka ya rais wa CCM na marupurupu yao baada ya kustaafu. Lakini hii itakula kwao 2015, bora wajiandae kuwa wapinzani mapema kwa kuandaa katiba nzuri isiyokua na upendeleo kwa chama tawala na watawala wake.
 
WASIFU WA SINDE WARIOBA

Tume ya rushwa ilikuwa haina mafanikio......kuteuliwa kwake na Nyerere kuwa mwanasheria Mkuu na Waziri wa sheria kulisukumwa na ukabila..................ametajwa kwenye EPA kuwa kampuni yake ililamba fedha...........hana taswira ya kukeketwa na kukemea wizi na ubadhirifu serikalini..........maoni yangu ni kuwa hatufai kwa sababu anatokana na uozo huu huu uliotufikisha kwenye mtaro huu ambao sasa tumekwama.............

WASIFU WA AUGUSTINE JAJI MKUU MSTAAFU.

Alituzuia kuwa na mgombea binafsi na baada ya kustaafu kujisafisha kuwa uamuzi haukuwa wa haki lakini alibanwa na mashinikizo kutoka Ikulu................Maoni yangu siyo mwana demokrasia au mpenda maendeleo hata chembe..........yeye yupo tayari kusaliti maadili ya kazi yake ili mradi alinde kitumbua chake cha kupita tu.............JK kamweka pale kwa kujua anaweza kumtawala kwa tamaa zake za mkate via a remote control

KABUDI PROFESA


Huyu alitumiwa na Mahakama ya Rufaa kama mshauri wa mahakama hiyo katika kufifilisha haki za watanzania kuwa na mgombea binafsi na JK alifurahishwa sana sasa ni wakati wa kumlipa fadhila tajwa kwa kumpa huu ugali.

wengineo hata hawastahili kuzungumzwa sana kwani sifa hawana wenye sifa tuko nje....................maana JK na virushwa vyake visingeweza kufua dafu na katiba stahiki ingelipatikana.

WAISLAMU KUKITHIRI KWENYE TUME NI TATIZO


hili ni tatuhumiwa ya kuwa ni mdini lakini hakuna shida msema ukweli ni mpenzi wa Mwenyezi Mungu na siku zote ni adui wa mwanadamu..........soma James 4:4 "Adulterers and adulteresses" Do you not know that friendship with the World is enmity with GOD? Whoever wants to be a friend of the World makes himself an enemy of GOD?"


kwa mantiki hiyo ninatamka hadharani ya kuwa hii ni tume ya waislamu kwa kuangalia idadi yao kwenye tume hii ambayo ni karibu robo tatu wakati waislamu ni theluthi moja tu ya jamii nzima................tutegemee kero za waislamu kumalizwa na kero zetu wakristu kuongezeka maradufu.....................chunga mahakama ya kadhi utaona wameipitisha na JK kujivunia kuwa yeye ni mkombozi wa waislamu na huku akitukejeli kuwa anakemea udini..................

AM I saddened by all this........probably not...........................kwa sababu .......................MY GOD JESUS CHRIST IS LARGER THAN THIS PATHETIC LIFE WE ALL ARE PROUD OF................

Udini unatoka wapi jaman mwenyekiti na makamu wake wote wakiristo. Au kusikia Auguston Ramadhan yakutisha? Tuache udini we are one nation
 
Back
Top Bottom