Kaka majina ya vitu hutofautiana kulingana na eneo.Kama vp weka picha ya hayo majani ya songwa,inawezekana wengi wakayafahamu.Halafu eleza kwa ufasaha namna ya kutumia,kama yanapondwa au yanachemshwa na ni kwa kiasi gani,kwa siku ngapi n.k.Waathirika wa TYPHOID tuko wengi.Au weka namba yako ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.