Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,224
- 236
Azam tv ipo bila chenga.
:coffee:
:coffee:
Angalia ya Emmanuel uone watu wanavyopungwa mapepo. kugaiwa pesa na kucheza sebene la Yesu ! raha tupu ! kidamva
Napata kwenye Azam.
naomba frequency kwenye azam
kumbe tuko wengi tunaopenda peace tvshukrani wote nataraji kununua sasa kati ya hivyo vingamuzi ili niipate hiyo channel, naipenda na ni nzuri sana.
kwani lazima uiangalie .....Inapatikana Zuku, ni kati ya chanel zinazonikera sana
Kaka kwanza mimi nikushukuru sana kwa msaada wako, mimi kwa upande wangu nimefata hatua zote ulizoziweka. nimefanikiwa na chanel baadhi zimeingia badala ya 24 nimepata 14 ingawa peace tv haimo. je nifanyeje sasa ili niipate peace tv. Mikidadi Kipande, Nipo Kigoma.