Wasikukatishe tamaa ndugu yangu, kama kweli ni mtafutaji huwezi kukaa na pesa bila kuizalisha, na pesa inatafutwa kwa njia tofauti nia ya kila mtu ni kupata mark up, haijalish ni kwa njia gani. Nakutia moyo endelea na biashara yako, huwez kufikha kumi kabla ya moja, utbnza kidogo kidogo badae...