Fastjet: Basi linalopaa angani

Fastjet: Basi linalopaa angani

Watanzania muwe na shukrani wakati mwingine. Sisemi kuchikichia na chenji za wananchi ni jambo jema lakini wakati mwingine mnawatega bure. Unanunua bites za buku mbili jero then unaangusha hapo msimbazi safari ya dk50. Na mko angani.hamna kibanda cha mangi huko juu eti tuseme ataenda kuomba chenji mara moja. I think it is a professional of telling you guys that they are really sorry n that they cant provide a change so tembea zako huko lakini siku nyingine uje na chenji kamili.
Lets be considerate kidogo basi heeeeeeee!!

Kaka acha kutetea ujinga,mm nauza vocha ila hata ukitaka voda rusha ya 200 ukanipa elfu10 chenji ntawapa hata kama muwe kumi napata wapi chenji? Naenda mapema bank naomba chenji hakuna kutegemea huruma za mangi sasa hilo shirika kubwa hivo wanashindwa?
 
Kweli tupu. Crew wengi wa fast jet kiingereza mgogoro.hata yale maelezo ya jinsi ya kufunga mkanda na kujiokoa anasoma kwenye karatasi lakini Bado anachapia.ishu ya chenji ni Kweli pia.

jamani kingereza cha nini akati sisi wote watanzaniaa heee
 
Natumaini wengi wetu tumepata bahati ya kupaa na Fastjet katika maeneo tofauti hawa jamaa kwa kweli wahudumu & huduma ndani ya ndege ni za kusikitisha yaani utafikiri umepanda basi la abiria.

Iweje huduma ambazo wanalipisha ukimpa hela kubwa (ya chenji) harudishi na huyo mhudumu hutamuona tena moaka unashuka kwenye ndege sijui hata wanaendaga kujifungia wapi.

Nimesafiri sana na hawa jamaa hasa KIA-DAR, DAR- MBEYA na DAR - MWANZA kila ukiwapa hela ya chenji hsabu maumivu, ukijidai kuuliza swali kwa kiingereza ndo umemkimbikiza mazima anazuga HOLD ON ndo anajidai bizeeee anakupita kama hakujui mpaka ndege inatua. ukienda ofisin kwao Daah Hatareee.

Ndugu zanguni Fastjet badilikeni

Wahenga walisema,''bure aghali."
 
Kweli tupu. Crew wengi wa fast jet kiingereza mgogoro.hata yale maelezo ya jinsi ya kufunga mkanda na kujiokoa anasoma kwenye karatasi lakini Bado anachapia.ishu ya chenji ni Kweli pia.

Wa precision.bana kingeredha chao kitamu
 
Mbwembwe tu kwani ukifika airport unywe soda yako na keki adu ndo ukapanda kuna tatizo gani?

Sasa watu wote wakinywa airport kabla hawajapanda bas linalopaa hao.wenye bas si watakosa pesa kama vip waache.kufanya biashara la.sivyo.wawe.na.pesa.ndogondogo kabla ya kuanza safari. SIMPLE
 
Fastjet hawana makosa....jina linajitosheleza airline ya safari fupi na budget airline, next time nenda na change yako, kibongobongo wanajitahidi, Ulaya wana budget airline kama EasyJet na Rynair wanatengeneza siti za kusimama kama basi za mbagala

Bas waache kuuza vitu lasivyo wawe wanapaa na.kapu la hela ndogondogo na kama huna chenji kataa hela.ya.mteja kabla.hujampa huduma, la sivyo tunafuga wezi
 
Kaka acha kutetea ujinga,mm nauza vocha ila hata ukitaka voda rusha ya 200 ukanipa elfu10 chenji ntawapa hata kama muwe kumi napata wapi chenji? Naenda mapema bank naomba chenji hakuna kutegemea huruma za mangi sasa hilo shirika kubwa hivo wanashindwa?

Point safi
 
naona akili zako sio nzima. tokea lini wizi ukawa ni mesej kwa mteja wako aje na chenji! na kama wanajua hawana chenji kwa nini wasitoe hadhari mapema. sijawahi kusikia ukipungukiwa na elfu moja fastjet watakupatia tiketi
 
Trip 1 hr jitu linataka kula wali,soda mara bia hivi mngesafiri 20 hrs angani nyie si mngekufa kwa kula.
 
Wabongo nao bwana, wanapenda kula njiani, kama mchwa! We safari ya Lisaa manunuzi kwenye ndege ya nini?? Sijui ushamba
Sasa hivyo vitu unadhani usiponunua uliyepanda ndege unadhani ni nani atanunua?vimewekwa ili viuzwe na vinunuliwe......!!kwani kula ni ushamba???!!labda hao Fastjet ndo wanaweza kuwa washamba kwa kuuza vitu kwa trip ya one hour.
 
Natumaini wengi wetu tumepata bahati ya kupaa na Fastjet katika maeneo tofauti hawa jamaa kwa kweli wahudumu & huduma ndani ya ndege ni za kusikitisha yaani utafikiri umepanda basi la abiria.

Iweje huduma ambazo wanalipisha ukimpa hela kubwa (ya chenji) harudishi na huyo mhudumu hutamuona tena moaka unashuka kwenye ndege sijui hata wanaendaga kujifungia wapi.

Nimesafiri sana na hawa jamaa hasa KIA-DAR, DAR- MBEYA na DAR - MWANZA kila ukiwapa hela ya chenji hsabu maumivu, ukijidai kuuliza swali kwa kiingereza ndo umemkimbikiza mazima anazuga HOLD ON ndo anajidai bizeeee anakupita kama hakujui mpaka ndege inatua. ukienda ofisin kwao Daah Hatareee.

Ndugu zanguni Fastjet badilikeni

Dawa yao ni kuchange pesa kabisa..maana wao wamezoea keep change.
 
Back
Top Bottom