Askari wa Mwanza Airport

Askari wa Mwanza Airport

Mkuu tusiwalaumu wale maafisa usalama. Kwanza wanatekeleza wajibu wao kufuatana na sheria za ICAO.

Mwanzo hata mie sikuelewa ila niliambiwa kuwa lotion, maji au in short vimiminika vinaruhusiwa ndani ya ndege ILA ujazo wake usizidi 100mls.

mimi siwalaumu hta siwajui
 
Sio kwamba hawaruhusu kusafiri na vimiminika but hutaruhusiwa kuingia nayo kwenye cabin which means itawekwa kwenye mizigo mingine kwenye buti ya ndege, otherwise ukute tu wale askari wana tamaa waamue kukufanyia hiyana. Pia maji itategemea kama ni madogo na ni lazima upande nayo kwenye ndege (say ni dawa unaitumia immediately angani) watakuruhusu uingie nayo lakini kwa sharti la kuyaonja kwanza na ruhusa hiyo hutolewa mtu maalum!
 
Acha ungese wewe! Au ulitaka tujue kuwa umepanda ndege? Ushamba sana huo. It is absolutely known throughout the World kwa haupaswi kuingia na perfumes kwa ndege.

Acha kujirusha kiboya wewe. Ukute ata habari hiyo umehadithiwa tu unakuja kuturusha kiboya tu humu ndani.

Kwaiyo sasa tulaumu Askari hao eeeh??
**Jiongeze brightoscar .**
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa inaonyesha huwa wanasubiria mafuta na perfume wachukue yaani ni big deal kwao leo perfume yangu inakaribia kuishi walivyoishambulia kama mpira wa kona..

hizo ni taratibu za usafiri wa anga duniani kote,,, kwa lengo la kuimarisha usalama.

usilalamike wakati unahakikishiwa kusafiri salama.
 
Acha ungese wewe! Au ulitaka tujue kuwa umepanda ndege? Ushamba sana huo. It is absolutely known throughout the World kwa haupaswi kuingia na perfumes kwa ndege.

Acha kujirusha kiboya wewe. Ukute ata habari hiyo umehadithiwa tu unakuja kuturusha kiboya tu humu ndani.

Kwaiyo sasa tulaumu Askari hao eeeh??
**Jiongeze brightoscar .**


Mbona fujo dada? Mweleze kistaarabu atakuelewa.
 
Last edited by a moderator:
ni kweli jamaa ni wanoko in a way ukilinganisha na wale wa dar
 
Maji ya kunywa unaruhusiwa ila ni lazima uyaonje kwanza ndo unaruhusiwa kuzama nayo ndani.
 
Acha ungese wewe! Au ulitaka tujue kuwa umepanda ndege? Ushamba sana huo. It is absolutely known throughout the World kwa haupaswi kuingia na perfumes kwa ndege.

Acha kujirusha kiboya wewe. Ukute ata habari hiyo umehadithiwa tu unakuja kuturusha kiboya tu humu ndani.

Kwaiyo sasa tulaumu Askari hao eeeh??
**Jiongeze brightoscar .**

Heeeee
 
Last edited by a moderator:
Naona watu wanajadili kitu tofauti kabisa. Mleta anazungumzia suala la askari kugombania perfume iso kama inaruhusiwa kuingia nazo ama la.
 
Mwana kwa Ossi nayofanya kupanda ndege kitu cha kawaida sana pia siku hizi sidhani kama kupanda ndege dili sana hata wakinga wenzako nikiwemo mimi ni jambo la kawaida kilichonikwaza ni kimiminika kilikuwa kimebaki kidogo wakan'gan'gania nimefanya training kuhusu dangerous goods so najua everthing mkinga wa ikonda wewe.
 
Back
Top Bottom