miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Mkuu tusiwalaumu wale maafisa usalama. Kwanza wanatekeleza wajibu wao kufuatana na sheria za ICAO.
Mwanzo hata mie sikuelewa ila niliambiwa kuwa lotion, maji au in short vimiminika vinaruhusiwa ndani ya ndege ILA ujazo wake usizidi 100mls.
mimi siwalaumu hta siwajui