Chukua salary slip zote za toka ulivyoanza kupeleka michango yako, nenda branch ya NSSF michango yako inakopelekwa then udai hiyo tofauti na waibadilishe, pia yawezekana mwajiri wako alipeleka pungufu kwa maana hiyo pesa iliyoingia ni ile cheki ya mwajiri wako aliyoipeleka NSSF.
Angalia pande...