Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
Wanaotakiwa kumshauri ni wanawake tuuuuuuuuuu! Nachelea kuchangia jamani miye Mwanaume!
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
jamani ni ipi jinsia ya BofloBoflo said
pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
jamani ni ipi jinsia ya Boflo
Huenda unatafuta wenye uwezo na hutaki kujichanganya na malofa,sehemu nzuri za kupata wanaume/wanawake ni makanisani lakini kabla ya yote mkapime kwanza,mimi ningeweza bana lakini ni lofa nalalalia telemuka tukaze na nina mtoto mkubwa ,ila sasa sihitaji kupata mtoto,mambo ya kulea tena mmh,haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
Huenda unatafuta wenye uwezo na hutaki kujichanganya na malofa,sehemu nzuri za kupata wanaume/wanawake ni makanisani lakini kabla ya yote mkapime kwanza,mimi ningeweza bana lakini ni lofa nalalalia telemuka tukaze na nina mtoto mkubwa ,ila sasa sihitaji kupata mtoto,mambo ya kulea tena mmh,
uhuru wa kujieleza na kujitokeza mbele za watu, lakini nasoma kati ya mstari, ananiacha hoi. labda si riziki.Kwa kweli jinsia yake ni utata mkuu. Unakumbuka aliingia kwa ID ya Bwabwa, mwishowe akaomba ibadilishwe na kuitwa Boflo na akajitambulisha kwa upya na kuukana uraia wa Bwabwa hadharani. Nakumbuka wengi tuli-suggest several IDs zikiwemo sponge, mkate. biscuit,etc, yeye akachagua BOFLO. Anyaway, cha msingi ni member na tunaheshimu ID yake kwani Administration ya JF imelikubali.
..........Eti umetoka kwenye familia yenye maadili!! Hivyo BF 4 unaona wachache? Mhhhhhhhhh kazi kweli kweli...........na inabidi ujiulize kwanza una kasoro gani kwenye mahusiano hadi hao BF 4 wote wakupitie halafu wote wakuache bila kutangaza niaaa:confused2:haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
pretty wanaume 4 kwa mtu mwenye miaka 34 si wengi....huwezi jua alianza lini mapenzi!imagine alianza wkt yupo form111.............Eti umetoka kwenye familia yenye maadili!! Hivyo BF 4 unaona wachache? Mhhhhhhhhh kazi kweli kweli...........na inabidi ujiulize kwanza una kasoro gani kwenye mahusiano hadi hao BF 4 wote wakupitie halafu wote wakuache bila kutangaza niaaa:confused2:
Hahah hii nimeicheki kwenye web ya dada mmoja comment iliyonifurahisha kule ni hii
" wakaka wa JF hawana muda wa kufukuzia kina dada wao wako Busy na siasa "
Ya kweli haya :becky:
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu