Buhari aliingia Kwa mbwembwe Za Kuwamaliza boko Aram bado anahitaji Kusolve the problem within religious diversity ambayo ipo Kubwa Nigeria na waislam they are inferior there
Basata watumie busara watuambie ni uchochezi gan uko Kwenye nyimbo, Kwan nyimbo imetaja ni viongoz wa nchi gan au rais gan, mahakaman Kesi hiyo wanashindwa waziwaz, poor Logic na waache F fallacy
wakuu mwenye taarifa yeyote Kuhusu DECI tafadhali tujulishane maana mzee wangu alipanda fedha nyingi huko na serikali iliahidi kufanya utaratibu watu warudishiwe fedha zao, Lakin naona Kimya, na mzee hatak Kusahau kila akikumbuka presha inapanda. Mwenye updates zozote please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.