Afadhani unisaidie kufunga huu mjadala PakaJimmy, risiti imetengenezwa hiyo maana huwezi kupokea Posho kwa kukatiwa risiti. Labda watu convice kuwa fedha yake ilirudishwa serikalini kwa kuwa hakupokea. I submit....
Hutuba yake kwenye upande wa use of natural resource ilikuwa nzuri..hali ilibadilika tu pale alipoaanza kuzungumza mambo ya ICC, kwanza jukwaa lote la VIP likitoa macho, si kwamba walifurahi ila ukiwasoma walikuwa na mshangao kuona mzee anajianika mwenyewe kuanza kushabikia yeye kutowajibika na...
Dhana ya kuchukua hatamu ya uongozi ni pamoja na kuunda upya serikali pamoja na idara zake. Hivyo usiseme hawawamini tu. Ni kweli kimazingira hawaaminini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.