Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Mnategemea nini nchi hii, wakuu wa mikoa wanaenda kwenye fiesta in their official capacities, mke wa waziri mkuu anamuuliza mumewe matatizo ya maji ya wilaya ambayo sio mkazi, tena kwenye mkutano wa hadhara, mbunge wa afrika mashariki kwa title yake ya mbunge, aenda ubalozini kumsalimia balozi.
Madudu mengi sana nchi hii.
Watu ni mabingwa wa kukurupuka.
Madudu mengi sana nchi hii.
Watu ni mabingwa wa kukurupuka.