Ridiculous, sijawahi ona IGP anazungumzia ualifu uliyotokea eneo la OCD, yeye anasubiri aletewe taarifa siyo kumkanusha OCD. Kama siasa za sasa ni internationals kuingilia pia mamlaka husika za ndani basi tuna kazi kubwa.
Kuna barabara huku mbovu kila siku magari yetu yako gereji na hali tunalipa kodi za viwanja na PAYE za kutosha! Kama Rais anaanza kukimbilia cheap popularity namna hii, Kushney.
CRDB bado ni benki bora Tanzania, makosa haya ni madogo sana. Mngefanya sample ya wateja wao zaidi ya wengi ni wangapi kati yao au % ngapi hairidhiki na iko significant basi tungewahukumu lakini hivi vya watu 2 au 3 ni unafiki tu. Barabara ndefu haikosi kona na mwanamke mzuri hakosi kasoro. CRDB...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.