CUF wameshinda viti 10 toka 2 ambayo ni nyongeza ya 8 wakati CDM wameshinda viti 35 ambayo ni nyongeza ya viti 12 sasa hapo CDM wamepata hasara gani?Linganisha viti vya CDM na CUF uchaguzi uliopita na wa sasa. Ndiyo maana yangu. Huna hizo takwimu?
CUF wameshinda viti 10 toka 2 ambayo ni nyongeza ya 8 wakati CDM wameshinda viti 35 ambayo ni nyongeza ya viti 12 sasa hapo CDM wamepata hasara gani?
Really, CUF viti 10?
= inaimarika
= unaimarika
Ukawa umekuwa ukiwa.