Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

Kozi za Afya 2016/17, Ushauri na maoni

Habari wanajamvi....

Kwa aliefanya application kwa mitandao wa CAS Wa NACTE anaweza akanisaidia hili....

Nimemfanyia mtu application Jana, nimejaza forms na sub-form zote kama walivyoeleza, Sasa ishu ikaja pale mwishoni baada ya kuchagua vyuo na kozi ya kusoma....

Kwenye Guide book yao wanaeleza kuwa ukishafanya application utaona neno "CONFIRM " ili uwe umefinalize application na uwe umesubmit Yale maombi Nacte, ( Guide book. section 5.8 , page 21 of 22)

Sasa Mimi sijaona hiyo option isipokuwa programme zimejilist kama ambayo nitaattach screen shot hapo chini....

Nilijaribu kuwapigia namba zao lakini kwa kuwa ilikuwa ni sikukuu toka Jana ikawa hawapatikani na deadline nin jumanne March 31 , so kwa yoyote mwenye experience na hili anaiambie kama nilikuwa nimemaliza application au laa....ili nisije nikajifariji afu kumbe sijamaliza application....

Screen shot yenyewe ni hii hapa
10459c3d67f01d173abd38468c9df64f.jpg

Na   
649fc03d787174fb974e19924b503f39.jpg
 
Haina shida hilo neno confirm ni kweli halipo ila utalipata baada ya kuchaguliwa chuo wote inatokea hivyo hivyo kama ulivyo andikiwa wewe.
 
Kingine ni kuwa kuna vyuo vya nursing ambavyo vinafungua tar 18/04 na mwisho wa kutuma maombi ni tar 31 mwezi huu na kuna vyuo ambavyo vinafungua mwezi wa saba na mwisho wa kutuma maombi ni tar 31/05. Na kote kuna vyuo vyake. Nimeona vyuo ulivyo chagua ivyo vyote vinanguliwa mwezi wa saba na sio wa nne.
 
Kingine ni kuwa kuna vyuo vya nursing ambavyo vinafungua tar 18/04 na mwisho wa kutuma maombi ni tar 31 mwezi huu na kuna vyuo ambavyo vinafungua mwezi wa saba na mwisho wa kutuma maombi ni tar 31/05. Na kote kuna vyuo vyake. Nimeona vyuo ulivyo chagua ivyo vyote vinanguliwa mwezi wa saba na sio wa nne.
Ubarikiwe sana Dean of Student!

At least I can relax now....!
 
Wakuu msaada hapa deadline ya kuapply nacte lini maana niingia website ya nacte naona ni tarehe 31/05 lakini kuna taarifa nimezipata kwamba wengine wanasema mwisho tarehe 30/03
 
1459190355020.jpg


Royona College ni moja vyuo vinavyofungua april, deadline ni 30th april.
 
Uzi huu ni kwa wale wote ambao wamefanya application kwenye kozi zote za Afya kuna mengi ya kushauriana, maswali juu ya kozi husika na maswali juu ya vyuo husika..!!

Karibuni sana kwenye mwaka wa masomo 2016/2017

HIVI CHOICE NI NGAPI TATU AU ZAIDI? Msaada tafadhali
 
Uzi huu ni kwa wale wote ambao wamefanya application kwenye kozi zote za Afya kuna mengi ya kushauriana, maswali juu ya kozi husika na maswali juu ya vyuo husika..!!

Karibuni sana kwenye mwaka wa masomo 2016/2017
Nisaidie jamani. Hivi unafanya choice ngapi, tatu au zaidi. Kwangu zinaonekana tatu, lakini wengine wameenda mpaka zaidi ya tatu. Advise please
 
Naona vyuo maarufu vingi havina Clinical Medicine, naombeni mnishauri chuo bora cha cozi hiyo... Nimefaulu vyema o level advance haijakaa vzr maana Nina 3 ya 16 PCB, phy nimefeli...
 
je wanaruhusugu kurudia application kama walikuselect apo awali,ebu ulizia kwa wazoefu then unipe jibu mkuu
Nenda NACTE ukiwaambia wanakutoa kwenye system then unaomba tena! Mi pia yalinikuata ayo nikaenda NACTE wakanitoa kwenye system!
 
Nenda NACTE ukiwaambia wanakutoa kwenye system then unaomba tena! Mi pia yalinikuata ayo nikaenda NACTE wakanitoa kwenye system!
ikitokea ulichaguliwa kwenda chuo....ila kutokana na mambo ya kifamilia hukwenda chuo kuripoti.....je kuna uwezekano wa kuomba tena na ukakubaliwa?
 
ikitokea ulichaguliwa kwenda chuo....ila kutokana na mambo ya kifamilia hukwenda chuo kuripoti.....je kuna uwezekano wa kuomba tena na ukakubaliwa?
Uwezekano upo kikubwa wakutoe tuu kwenye system! Kwasababu ukiwa kwenye system wanaamini ya kiwa uliripoti chuoni.

Mi nilikwenda nikawaambia wakanitoa kwenye system nikaomba tena.
 
Uzi huu ni kwa wale wote ambao wamefanya application kwenye kozi zote za Afya kuna mengi ya kushauriana, maswali juu ya kozi husika na maswali juu ya vyuo husika..!!

Karibuni sana kwenye mwaka wa masomo 2016/2017


29 IV CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'D' B/MATH - 'F'

Jamani huyu ndugu yangu anaweza kujiunga na certificate ya accountancy arusha? Anaweza kupata chuo gani kwa certificate masomo ya arts please . Naomba mawazo
 
Back
Top Bottom