Recent content by Ka2pain

  1. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hapo umetisha sana mwaisa
  2. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuandika barua ya posa

    Na hii barua unaiandika kwa mkono au inaichapa.,, na mfumo mzuri ni kama barua za kiofisi ama
  3. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuandika barua ya posa

    Thanks for this and be blessed
  4. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Ni Lazima Ujifunze Microsoft Excel-Sababu 5 za Msingi

    Asante Kwa kutukumbusha mwalimu
  5. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Nimetengeneza 15,632,000/= kwenye betting ndani ya miezi minne

    Wengine neema.,
  6. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu, Wafanyakazi msife moyo, Plan B ni muhimu sana

    Sasa tunafanya nini kujikwamua maana hata hiki tunachopewa hakitutimizii baadhi ya mahitaji yetu., mtazamo wangu ni kujiongeza kama alivyosema mtoa mada
  7. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Paji la uso na siri ya jicho la tatu

    Nimeipitia yote Na kujifunza kitu kikubwa Na kimenibadili mtazamo wangu kwa namna moja ama nyingine., Mungu azidikukutia nguvu katika kuendelea kutujuza mwalimu., Hii elimu dunia tunaipatia huku wengine. Shukrani nyingi kwako Mshana Jr. na wengine wote mliochangia [emoji1545]
  8. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Paji la uso na siri ya jicho la tatu

    Nimekuelewa sana mkuu..
  9. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Johanes Kanani apata ajali na kufariki

    So sad RIP
  10. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Usifufue makaburi ya mwenza wako endapo unajua kuwa huna moyo

    Ila kuna wengine wanajihami., wanayafukua wenyewe. Hapa unakuta ndo mmeanza mahusiano yeye anafunguka Dah mpaka unaanza mwogopa tena., kuna haja ya kufikiri Mara 2 kabla ya kucheki na yalilopita
  11. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Usifufue makaburi ya mwenza wako endapo unajua kuwa huna moyo

    Nimecheka sana., nakumbuka girlfriend angu yani kila tukikutana cha kwanza kikagua simu yangu., umkatalie ilo timbwili lake.,
  12. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Usifufue makaburi ya mwenza wako endapo unajua kuwa huna moyo

    Sasa hapo ulimvumilia au ndo ushamtosa tena
  13. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Mwanaume mashine

    Hapo kusaidiwa lazima., Kitu mashine
  14. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Faida za vitunguu saumu kwa wanaume na jinsi ya kutumia

    Mtatuua wabongo., fanya utafute sehemu nyingine ya kuuzia huo mzigo wako wa vitunguu [emoji23][emoji23][emoji23]
  15. Ka2pain

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Mapenzi ya kweli utayapata kama mwanamke akipenda mwenyewe lakini sio mwanaume

    Hii kweli changamoto sana., upendapo full kuchunwa Ila upendwapo dah., wanasema cha msingi upendo
Back
Top Bottom