sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Naona dalili ya mimbaNdio shida ya kukaribisha wageni nyumbani!
Naona dalili ya mimbaNdio shida ya kukaribisha wageni nyumbani!
Hongelea story yako sio za watu hacha ukengeHiyo imemtokea hata Gwajima kwa muumini wake mke wa mtu hai kanogewa kajisahau kampangishia hotel
Naam naam.Nisingetekenywa maanake nisingeliwa.
So I wanted IT and I went for IT.
Mkuu popote ulipo barikiwa sanaBaada ya kununua ka baby walker kangu nikakumbuka mbwinu za wadau wa huku uzinifuni state aka kula tunda kimasihara. Nikaona ngoja nizurure tu bila mpango wa maana nikatokea mitaa ya mtongani nikakumbuka nina namba za wadau(friends) wangu wanaishi huko. Nikaona sio kesi nikamcall mmoja akasema anakuja tuonane. Nikamwambia fasta kidogo nina haraka. Nikatafuta sehemu nikakaa na kuagiza mirinda nyeusi (walevi msinipopoe mi sio mtu wa tungi hata kidogo, ni priority tu) baada ya nusu saa simu inaita kucheki kwa kioo ni yule mchuchu. Nikakata na kumpigia (hii mbunu huwa naitumia kuonesha uanaume) sio unapigiwa na potential..... unakimbilia kupokea haraka haraka kama mfanyakazi wa tanesco anavyokimbilia kukata umeme ikitokea uhaba wa mvua. Show ur status kwa kukata na kupiga hapo hapo some ladies love that. Alipopokea akalalamika pale eti nimemkatia simu nikamwambia mm ndo nimekuita so nina jukumu la kukupigia. Nikamwambia anipe dakika sifuri nitakuwa pale. Kweli nikaingia ndani ya baby walker yangu fasta nikateleza mpaka alipo. Kwanza hakuwa na ufahamu kama nina kababy walker. So ilikuwa surprise kwake. Akanipa hongera za kizushi pale. Nikamwambia aniombee nipate gari la kupanda sio ile kigoda cha kuingia.
After salamu nikamwambia anipe uelekeo akasema hana idea, nikamwambia follow my lead. Nikasepa pale kwa mwendo wa wastan huku nampiga maswali ya kizushi kuwa ikitokea jamaa yake akamtafuta itakuwaje. Akasema hakuna wa kumtafuta... Taa nyekundu kichwani ikawaka na ibilisi wa zinaa na ngono za reja reja akaniniong'ineza (mbu leo ni siku yako) nikamwambia sitakuangusha. We have been together in all downs.
Nikaendelea kumchombeza mtoto kwa maswali ya kizushi mpaka aliposhtuka tupo mtaani kwangu akauliza huku wapi nikamwambia follow my lead. Nimeona nikulete kwangu upajue. Akaonekana ouwaza kidogo nikamtoa wasi wasi kwa kumwambia afike atie baraka maana sipatagi wageni mm!(If walls could talk ningeumbuka siku hiyo. Ila yote kwa yote Mungu fundi) Alijua haya yote b4. Kufika nikasimamisha kamkebe kangu nikaenda kumfungulia mlango aliishia kuniangalia na kutabasam tu. Then nikamuongoza ndani huku nimemshika mkono na tulipoingia nikamwambia karibu mgeni. Sijui nikupatie nn? As if kuna vingi vya kumpa. Aliomba maji ya kunywa nikamwambia hayo hayapi labda juisi au soda. Akasema juisi. Sikumuuliza ipi coz ilikuwepo aina moja tu. Juisi ya embe natural so nikamtengea kwa glass yangu pendwa nikajimiminia na mm ya kumsindikiza mgeni anywe kwa uhuru kisha tukakaa kochi moja.
Up 2 that moment sijui nitaanzaje ila kwa kuwa nina kampani ya brother ibilisi nikaona poa tu itafahamika huko huko. Alipotua glass yake nikaichukua kisha nikapeleka mdomoni kwake kumnywesha. Alisita sita ila nili insist akakubali kishingo upande. Nikakumbuka nimefanya ujinga wa kutoagiza chakula (huwa sipiki coz kupika kwangu ni gharama kubwa mno. Lazima nipike vya kueleweka. Sio nipike mchicha kama mboga kuu. No. So nikamuomba radhi nikatoka nduki kwa speed ya msafara wa Hangaya. Kufika kwa kibanda nikachukua chips yai na nusu kuku. Then same speed home. Nilifika mapema hakuamini kama nimetoka mbali kidogo. Nikaweka mezani pale na nikalazimisha kumlisha. Sijui nilipata wap ujasiri ule maana nilimuangalia machoni kisha nikamkiss ile ya hewan. Naogopa kukiss direct coz am a bad kisser.
Akasmile kisha akasema nimeanza uchokoz. Nikamwambia a relax. Nikamsogelea nikamnong'oneza shingoni. Nikaona ameongeza kupumua kidogo nikasema huyu gumusi ni lewo (kwa sauti ya brother K) nikapeleka mkono kwenye mapaja mtoto katulia tu. Nikausogeza kunako mji mkuu akautoa taratibu huku analalamika mi sijali. Huku kichwa cha chini kishapata moto hatari. Hata msosi hatukumaliza nikambeba mpaka kitandani piga sana sarakasi pale na ushirikiano ulikuwepo wa kutosha. Sijui walevi mnaposema kuna ushirikiano mnamaanisha wa pombe au wa mhusika. Raha ya embe ulile likiwa linajielewa sio kula huku kuna stimu za vitu vingine kichwani (kwa hili tutabishana mpaka mwisho wa dunia ) how do u eat while uko na stimu za alcohol kwa head? Ndio mnakuja kutudanganya mmeenda 30 minutes kumbe mmetumia single digit. Huyu pisi ilikuwa ni safi mpaka shetani naamini alikuja kuhakikisha. Sio muumini wa kupiga deki ila siku hiyo nilipiga vzr tu. Na alijua majukumu yake vzr. Nisingemnyang'anya mic angetimiza album maana sio kwa kuimba kule. Mama junior aje apewe somo la bure kwa hii pisi.
Of coz niliuza mechi n F@k life. We all die once. Though we live everyday. Baada ya kimoja tukaelekea kuoga. Huko bafuni ikawa shida mtoto akakamata ukuta yaani kidogo nihonge hati ya dunia. Sema tu haikuwa kwangu. Mngetafuta planet ya kwenda kuishi manina zenu.
Tulirudi room tena ikawa fujo bin utata. Kifupi pisi iliondoka kesho yake na mpaka leo najilia vyangu kadri ninavyobarikiwa. Na hati ya dunia mkae nayo huko huko mkinipa mm, ikipatikana na jina la mmiliki mwingine tusilaumiane.
Msiniletee falsafa za kumfanya maza hausi hapa sio mahala pake. Kuna watu ni watamu mpaka utamu wenyewe unaenda kujifunza pale. Alijisemea mdogo wangu haya ni matunda yetu tusipoyatumia tutahukumiwa.


Duh...Nasisitiza ...Wakenya hawajui kitu..Siyo wanawake siyo wanaume.
Mtu kakaribishwa kwa watu bado anatafuna watoto wa mwenyeji wake.Naona dalili ya mimba
Mkuu, wanawake kama suzie _barbie wakiguswa tu wanatema mma ya kwenda! Watam sana hawa..Naam naam.
Wanawake kama ninyi mpo wachache saana kwenye hii nchi
Kaka!Mkuu, wanawake kama suzie _barbie wakiguswa tu wanatema mma ya kwenda! Watam sana hawa..

Hahaha, unapita huku my mdogo?
Dadeq nimecheeeka kifalaaunaletewa stori dogo anaiita chai,kumbe hiyo kimasihara ndio ilileta mimba yeye akazaliwa![]()



Duh ka nakuona ulivo mtamuMASIKHARA KAMA MASIKHARA
Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..
Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.
Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini
Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Na sisi Tulane kimasihara upo wapi mremboessay za kimasikhara ziendeleee, woiiiiiiiih.
Nipo hapa.Na sisi Tulane kimasihara upo wapi mrembo
Waombe wakutumie piemu mana wakituma hapa tutajikuta tushaenda alaf mwsho tuchukue hatua mkononNaombeni link ya telegram ya mambo yetu
HahahahWaombe wakutumie piemu mana wakituma hapa tutajikuta tushaenda alaf mwsho tuchukue hatua mkonon
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Mpe Tena jaman daaNikiwa form two nilienda gheto kwa boyfriend wangu,sikumkuta nikamkuta rafiki yake.Mvua kubwa ikaanza sijui hata ilivyokuwa nilijikuta nshatiwa.Hatukuonana tena hadi mwaka jana bada ya miaka 24,kaja chuo ni mwanafuzi wangu.