Recent content by juwaji peter

  1. J

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Naomba kuuliza dawati hili kwa wadau wa elimu na wanufaika wa bodi ya mkopo, kuna habari zinasambaa na kunikuta jioni hii kwamba, kwa yeyote ambayo alikuwa na sup au carry hadi mda huu hana sifa ya kupata mkopo, kwa maelezo yao ni kwamba SOURCE NI MKURUGENZI BODI YA MIKOPO NA IMETOLEWA LEO...
  2. J

    Kwa hali hii watasoma watoto wa matajiri tu chuo kikuu na wachache wa wakulima

    Hiv ni kweli mkopo unasitishwa kwa wote wenye sup na carry hata kama ya somo moja?
  3. J

    TAHLISO: Continuing students hawataathirika na vigezo vipya vya utoaji mikopo elimu ya juu

    Huyo jamaa jana alihojiwa EA RADIO akathibitisha maelezo yake, na mm ninayo hyo record ya mazungumzo yake
  4. J

    TRL, ratiba ya usafiri wa Treni mmebadilisha?

    Mabadiliko ya ratiba usafiri wa treni imekuwaje kwa mwenye kujua na ambaye ameipata ratiba naomba anijulishe kutoka Makambako to Dar . Wamebadilisha au vipi na kama wamebadilisha ni lini na saa ngapi?
  5. J

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    Inaonesha mkopo ni kama chachu kwa wanavyuo maana hali ishakuwa tete na watu hawana ujanja tena zaidi ya kuwa wapole maana ushaitwa mkopo lakin watu wanautaka kwa namna yeyote Tumbe Mungu atie wepesi
  6. J

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    kazi nzuri mdau tunasubiri pia second LOT,kama kuna mabadiliko yeyote na ongezeko la watakao faidika na huo mkopo
  7. J

    Shukrani kwa HESLB

    Tutakufa Kwan uongo
  8. J

    Kigoma mmeshangaza Sana

    wakongomani,watanzania wa sasa wanajielewa mkubwa
  9. J

    Mimi nawatamani Wanafunzi, Nifanyeje ili niache?

    Mshonee mkeo sare za shule hasa sare za sekondari ili kupunguza matamanio ya wanafunzi
Back
Top Bottom