Naomba kuuliza dawati hili kwa wadau wa elimu na wanufaika wa bodi ya mkopo, kuna habari zinasambaa na kunikuta jioni hii kwamba, kwa yeyote ambayo alikuwa na sup au carry hadi mda huu hana sifa ya kupata mkopo, kwa maelezo yao ni kwamba
SOURCE NI MKURUGENZI BODI YA MIKOPO NA IMETOLEWA LEO...
Mabadiliko ya ratiba usafiri wa treni imekuwaje kwa mwenye kujua na ambaye ameipata ratiba naomba anijulishe kutoka Makambako to Dar .
Wamebadilisha au vipi na kama wamebadilisha ni lini na saa ngapi?
Inaonesha mkopo ni kama chachu kwa wanavyuo maana hali ishakuwa tete na watu hawana ujanja tena zaidi ya kuwa wapole maana ushaitwa mkopo lakin watu wanautaka kwa namna yeyote
Tumbe Mungu atie wepesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.