Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 994
Ni bahati mbaya tuu kuwa Abdala Bulembo hata udiwani alianguka lakini angempa Uwaziri Mkuu, halafu yupo yule Lusinde aka Kibajaji naye ampe wizara ya Mambo ya nje maana hao walimsaidia sana Magufuli katika kile kitengo cha Matusi wakati wa kampeni. Wizara ya muungano ampe Kessy wa Nkasi ili anyooshe mambo na Afya Pro.Maji Marefu ili tupate suluhisha la kwenda India kwa matibabu. Mawasiliano na uchukuzi apewe Msukuma wa Geita anayemiliki Helikopta, pamoja na kuwa ameishia darasa la sita lakini anauzoefu wa vyombo vya anga ataisaidia sana ATCL kuweza kumiliki ndege zake.
Kwa orodha hiyo fupi hawa wapinzani uchwara wataisoma namba kwa maendeleo ya kasi yatakavyo kuja.
Kinyume chake labda maana hao wote hawafai