Kigoma mmeshangaza Sana

Kigoma mmeshangaza Sana

kweli kigoma mumeaibisha kama kwetu hapa dodoma jaman
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.

Bungeni Walipendeza Ila Majimboni Walijisahau Sana!
 
Akina Kafulila walikuw kama Yatima Mwnykt wao Alikuwa bize kumdalalia Kura Fisadi, Gwajima alipozozana na Dr.Slaa kuhusu ujio wa Fisadi haya yalikuwa mambo ya ndani ya Chama cha kushangaza alietumwa kusema Kamati kuu ya Chadema ilifuata kanuni alikuwa Mliberali Mbatia badala ya viongoz wa Chadema, Kafulila kabanwa mbavu kigoma hana msaada anampigia simu Mwnykt wake wa Taifa anamjibu eti komaa mpaka kieleweke yeye yupo bize na Nduli haramia na mpishi wa matokeo feki kwa njia ya mtandao
 
Akina mkosamali walikua wazungumzaji bungeni lkn majimboni kwao hawakufanta chochote. Hata kununua dawati ilikua shida
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.

Huko hawana tv za kuona kinachoendelea bungeni.
 
Kigoma tunajielewa sisi sio mapoyoyo, tuliwatuma watuleteee Maendeleo na sio kupiga kelele ambazo hazina kichwa wala miguuu wala escro. acha wajifunze kwanza c unaona anayeleta Maendeleo anerudi

Hela za kuwaletea maendeleo watazipata wapi kama escrow imezilamba?
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.

Usishangae hawo wabunge wenu kwenye majimbo hawafanyi chochote kile na wala hawakai huko sasa wananchi hilo hawalikubali
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.
wachaguliwe kwa hoja gani wakati ukawa hawana hata manifesto ya uchaguzi. wananchi hawajaona kitu kwenye sera ya elimu elimu elimu bodaboda na mama ntilie ya mgombea wa ukawa.
 
wachaguliwe kwa hoja gani wakati ukawa hawana hata manifesto ya uchaguzi. wananchi hawajaona kitu kwenye sera ya elimu elimu elimu bodaboda mama ntilie na kumtoa lupango babu seya ya mgombea wa ukawa.
 
Watu wa Kigoma wala hawajui kama Nyerere alishakufa. Ngoja CCM itakuja kuwakomboa. Sisi wengine tupige mbele hadi katiba ipatikane.
 
Hii ikoje?yaani mmeamua kumrudisha bungeni Nswazugwako wa CCM na kuwaacha makamanda wazalendo wapiganaji akina Mkosamali,Kafulila David na Machali.

Hivi hamkuona uchapakazi wao? kweli hamkuona changamoto zao bungeni? kweli penye miti hakuna wajenzi!

R.I.P Mh Deo filikunjombe na pole sana Mh Wenje kwa lililotokea Mwanza.
Husiwalaumu naona kigoma imeisha geuka dubai kwahiyo wameridhika.
 
kilichomuangusha kafulila ni kitendo cha kutoa lugha za dharau kwa watu wa kigoma kama vile kuwaambia kuwa fani yao ni kulima michikichi na kuanzisha vyama vya mawese lakin si kuanzisha chama, akiwa na maana ya act wazalendo. Lakini pia mwaka huu pesa imetumika mnoo na ilikuwa na nguvu sana kuliko maneno matupu kwa huku kigoma pengine kuliko hata mikoa mingine (sijui kwa nini), ndio maana wameangushwa watu ambao hata hawakutarajiwa huku wakipita wagombea ambao hawana uwezo kiuongozi. Machali aliharibiwa na skendo ya kumpiga baba yake pamoja na kuwatukana baadhi ya watu hasa wanapomfikia na kujaribu kumweleza changamoto wanazokumbana nazo katika harakati za kujitafutia maendeleo mfano bodaboda.

yeah umejaribu kufafanua ila fitina zilikuwa nyingi sana!
inasikitisha sana kuwakosa hawa waheshimiwa maana walikuwa na mchango mkubwa sana .
 
pole sana sana mh kafulila !!!!
Nguruka tupo pamoja na wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom