Pole sana mkuu inaumiza lakini kwasasa focus yako ipeleke kwenye kujitafuta uwe na uchumi mzuri tu mwanamke anaekupenda awezi kukupa majibu mabovu hvyo.
Mmh kwamba wasanii wakenya wameshauri watanzania wasisikilize nyimbo za wasanii wao au?
Mimi naona ni maamuzi binafsi uwezi lazimisha mtu kusikiliza nyimbo zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.