Hekaheka za Xmas na kunusurika kifo

Hekaheka za Xmas na kunusurika kifo

Salamu wakuu.

Ndani ya siku hizi mbili tatu nimekuwa na ukimya usio wa kawaida ndani ya jukwaa hili na si kawaida yangu kupotea kwa muda mrefu kiasi hicho.

Ukweli ni kwamba nilikumbwa na tukio la uvamizi usiku wa XMAS tarehe 25 December baada ya kuvamiwa na vibaka, majambalika, wakulungwa wa jiji na wazee wa ngwasuma mishale ya saa 7 usiku.

Hakuna mazara makubwa niliyapa kiafya zaidi ya kuchukuliwa kiasi cha pesa kadhaa pamoja na simu inayonipatia kiburi na jeuri ya kuzurura humu jukwaani masaa 20 na ma4.

Nawasilisha.
Pole sana
 
Inaonekana unaishi maporini kiasi kwamba hutambui Tz kunawatu wanafanya shughuri za kimaisha masaa 24, sembuse saa 7 usiku ambayo ni mwanzo wa hayo masaa 20 na ma4!
Mimi kurudi au kutoka home saa saba usiku wala sina hofu lkn nacheza mitaa ya nyumbani kwa kuwa hakuna ambae hanifahamu na wakati mwingine wananiambia jana umepita "mida mibovu".

Ishi na watu wa mtaani kwako vizuri, hakuna watu wanaweza kutoka mbali wasishirikiane na watu wa karibu.
 
Back
Top Bottom