Kitambo sana nilivunja kadi yao,, Hawa jamaa wamekaa kiwiziwizi mm walinibambikiza deni la laki moja eti wanadai nilidraw hela katika akaunti yangu wakati haina hela kwa hiyo ikaweka negative,, jaman hivi kwa akili ya kawaida hili linawezekanaje,,,,, tulipelekeshana wakanipa hela yangu baada ya...