Kuna siri gani kwa wahindi

Kuna siri gani kwa wahindi

Kila MTU akijiajiri nani atakuwa mfanya kazi?!
Duniani kuna makundi mawili tu ya binadamu yaani watawala na watawaliwa ukatae ukubali ndio hivyo!
Utakuta MTU ni dereva wa daladala mzuri sana na siku ukimnunulia gari yake binafsi ndani ya miezi kadhaa atakuja kuomba kazi tena
huu ni wakati wa kujiajiri na sio kumtegemea kuajiriwa.. Maboss wanadharau mno!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent by Diaspora
 
Kila MTU akijiajiri nani atakuwa mfanya kazi?!
Duniani kuna makundi mawili tu ya binadamu yaani watawala na watawaliwa ukatae ukubali ndio hivyo!
Utakuta MTU ni dereva wa daladala mzuri sana na siku ukimnunulia gari yake binafsi ndani ya miezi kadhaa atakuja kuomba kazi tena

Sent by Diaspora
sawa lkn hata serikali na watu mbalix2 wanashauri hivyo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kwetu tunawachukia na kuwadharau wahindi. Lakini Marekani wanatafutwa sana. Karibu nafasi zote ya special class viza za ajira zinachukuliwa na wahindi. Google inaongozwa na Sundar Pichar, na Microsoft na Satya Badela, wote wenye asili ya kihindi. Chuo cha Harvard pia inaongozwa na mhindi. Maprofesa wengi kwenye vyuo vya marekani ni wahindi, haswa kwenye IT. Kwenye elimu na biashara, wahindi wanakipaji fulani na kula bata si lengo yao kuu maishani!
 
Wabongo na nyie muache chuki kwa Wahindi vinginevyo mtaendelea kurukishwa kichura chura.
Waafrika mna mambo ya hovyo sana hata wahindi wakirudi zao Bharat nyie mtaendelea kuteseka na kutesana.
Waafrika hamjui mnachokitaka na kwa upande wangu watu weusi ni wabaya na wajinga kuliko rangi zote.(sio wote)
Nimekulia Tanzania so naongea kitu ninachokijua 100%
Live long Tanzania
Live long Bharat.
Nyie ni wajinga nenda kwenu india muone munaongoza kwa uxafu hamna vyoo ni maskini sana baadhi ya majimbo huko kwenu hata kupata maji safi salama ni shida ukienda kwenye usafiri ni shida mnarundikana kwenye tren kama mikuku ya kisasa ndo mana nchi za wazungu mnatumikishwa ka mi.mbwa ila.mkija africa mnajiona watu wakati.mabwege tu nyie mimavi imejaa mitaani kwenu huko india shubamiti mtasumbua wajinga ila nyie bado mabwege tu
 
Siwapendi hao nguruwe ..Kuna siku mmoja alijichanganya mjini posta lile Kofi nililompatia nahisi alienda hadithia kwao..
 
Hapa kwetu tunawachukia na kuwadharau wahindi. Lakini Marekani wanatafutwa sana. Karibu nafasi zote ya special class viza za ajira zinachukuliwa na wahindi. Google inaongozwa na Sundar Pichar, na Microsoft na Satya Badela, wote wenye asili ya kihindi. Chuo cha Harvard pia inaongozwa na mhindi. Maprofesa wengi kwenye vyuo vya marekani ni wahindi, haswa kwenye IT. Kwenye elimu na biashara, wahindi wanakipaji fulani na kula bata si lengo yao kuu maishani!
Wanadharauliwa sana nchi za kiarabu mpaka kesho!
Kwa wingi wao ni wachache sana wanaotoboa kama ilivyo kwa watu wa nchi nyingine!
Tatizo wakija kudanga africa wanakuwa na zile zile tabia za asili za kwao za ubaguzi na ushenzi!
 
Back
Top Bottom