Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
- Thread starter
- #41
AZAM Nataka kuifuta kabisa mkuu
Cc_Zero IQ
Unatumia king'amuzi gani mkuu!?? Unaweza kuifuta kabisa hata kwenye orodha ya chennel zilizopo kwenye kisimbusi chako au unaweza kuizuia tu kwa password mtu mwingine akitaka kuiangalia mpaka aweke number za Siri..!!
Hiyo inakusaidia hata kwa watoto km huwa kuna vipindi hupendi waviangalie unavizuia kwa password! Niambie kisimbusi gani unatumia na uniambie km unataka kuifuta kabisa au kuizuia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Cc_Zero IQ