Recent content by Jumah JR

  1. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Hao mbona ni utumishi wa mchongo sio official page yao hiyo
  2. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Nahisi ni mwaka mmoja kuna mdau tulipiga nae interview mwaka jana mwez wa 5 amecheki hiyo interview imemuandikia databank expired
  3. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Inasemekana ndo database yenyewe kwahiyo sasa hivi unakuwa unajijua kama upo database
  4. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    SIna hakika mkuu labda kama imeingia kwa baadhi.
  5. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Duuh huku CRDB watatuua mamb bado
  6. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Bank gan mkuu
  7. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ngoja tusikilizie hii weekend kam mama atacheka
  8. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kama makato bado hii ngoma c itafika mpaka J3 kudadek..
  9. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kuna mkeka huko,..💥💥💥
  10. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Bas hakika kila mtu atalamba asali
  11. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Leo PDF 2 💥💥💥
  12. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    watembelee account zao kuna jamaa angu nae ameula amekuta placement letter mchana
  13. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Washaweka jioni hii
  14. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nakumbuka miezi ya nyuma crdb ilikuwa inatangulia kutema salary ila sasa hvi ni huzuni
  15. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Itakuwa NMB huyo
Back
Top Bottom