Recent content by Jumah JR

  1. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna mkeka uko wakuu
  2. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Inaanza barua
  3. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hii nazani inategemea na mkaguzi Mimi mwenyew vyeti vyangu jina la kati ni initial lakini mpaka naingia kwenye mrija wa asali sijawahi kuulizwa mambo ya Deadpool
  4. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Na wao wanazipenda Posho mkuu..
  5. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Daah kwahiyo mwaka mmoja wanaokupa wameona hautoshi wanakupiga na Pepa ndo wakuthibitishe😄😄
  6. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana mkuu karibu kundini👏👏👏
  7. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana Mkuu 👏
  8. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ukifika stage ya kusubiri simu ya mwajiri ndo unakuwa chizi kabisa unaweza hisi nafasi Yako itachukuliwa 😀😀
  9. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Uvumilivu muhim mkuu zam Yako itafika tuu usiache kusali/kuswali
  10. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hao mahakama Huwa hawatabiriki
  11. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama una miaka 30 lazima ikukatalie kwa sabab Wana assume mpak mchakato wa ajira unakamikika unaanza kazi hautokuwa na hiyo 30 Tena mtu inaemkubaki ni 29, 28, 27.......
  12. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana Mkuu karibu kuutumikia umma👏👏
  13. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Itakuwa IT kachukua likizo 😀😀
  14. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Leteni shuhuda wakuui
  15. Jumah JR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana kiongozi 👏👏
Back
Top Bottom