Mkuu nakushukuru sana kwa
elimu uliyoitoa.kama hautojali
naomba contacts(namba ya simu)kwaajili ya kupata elimu
zaidi.Maana ww unajua
vitabu vinapopatikana.Mimi
ni Mwalimu wa shule ya
msingi.ningependa nitoke
kwenye umasikini. Ninaomba
sana niwe mmoja wa
mabalozi wako mkoani
Simiyi Wilaya...
Mungu hajaumba jehanamu
wala Munguhata wachoma
waovu milele.Dunia yetu hii
imezungukwa na anga la moto
ambalo Mungu ameweka
ulinzi usiiteketeze dunia.Mara waovu na shetani na malaika
waovu watakapomkataa
Mungu ataondoka.watabaki
bila ulinzi bombfire ambao ni
Moto unaouzunguka dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.