Recent content by Julius Makula

  1. J

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu nakushukuru sana kwa elimu uliyoitoa.kama hautojali naomba contacts(namba ya simu)kwaajili ya kupata elimu zaidi.Maana ww unajua vitabu vinapopatikana.Mimi ni Mwalimu wa shule ya msingi.ningependa nitoke kwenye umasikini. Ninaomba sana niwe mmoja wa mabalozi wako mkoani Simiyi Wilaya...
  2. J

    Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

    Mungu hajaumba jehanamu wala Munguhata wachoma waovu milele.Dunia yetu hii imezungukwa na anga la moto ambalo Mungu ameweka ulinzi usiiteketeze dunia.Mara waovu na shetani na malaika waovu watakapomkataa Mungu ataondoka.watabaki bila ulinzi bombfire ambao ni Moto unaouzunguka dunia...
  3. J

    TECNO BOOM J8

    Nauza laki mbili na themanini.
  4. J

    Kila ninapokuwa watu wananikodolea macho

    Hata mimi nilishakutana natatizo Hilo
  5. J

    Je, kuna ukweli katika picha hii?

    Kama ni kweli,basi mwisho uliotabiriwa umefika!huu ni utabiri wa mwisho wa matukio ya dunia katika biblia.
  6. J

    Waliokoka naombeni muongozo wa kuacha dhambi kabisa

    Kwa maelezo zaidi tuwasiliane kwa namba 0624701725.
  7. J

    Waliokoka naombeni muongozo wa kuacha dhambi kabisa

    Dhambi, sio matendo mabaya bali ni uhai mwovu ukaao ndani yetu. Huo ndio unatutumikisha tutende dhambi.haiwezekani kutenda mema kama uhai huu upo.
Back
Top Bottom