mwalukuni mchanyato
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 404
- 230
Ndugu zangu.Nimependezewa na hicho chombo Mahindra centuro .Je,ni Pikipiki nzuri kiubora na kunusa mafuta?
Mwenye kuijua Naomba atwambie maana nahitaji kununua nimezikuta mahali zikanivutia kimuonekano wa nje.
Mwenye kuijua Naomba atwambie maana nahitaji kununua nimezikuta mahali zikanivutia kimuonekano wa nje.