Nadhani hatujaelewana,sijamaanisha kunyoosha wapenzi wa jinsia moja,hilo haliwezekani kwakua walishasema wapo salama hapa tz! Yaan akipata mitano tena ugumu wa maisha utazidi mara dufu, utekaji,mauaji yataongezeka zaidii! Yaani kiburi chake kitakua mara tano ya alivyo sasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.