CCM inakoelekea ni kubaya zaidi ya jana

CCM inakoelekea ni kubaya zaidi ya jana

AbbasTwalb

Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
13
Reaction score
32
Nimefuatilia mwenendo wa chaguzi zetu kubwa kwa muda mrefu tokea tuanze kutumia mfumo wa vyama vingi vya siasa ili kupata viongozi mbalimbali wa ngazi za juu nikagundua miaka inavyozidi kwenda na kila chaguzi zinapozidi kusonga ndivyo hali ya chama chetu kilichotupa uhuru kinazidi kuangamia kipolepole.

Vyama vya upinzani vya miaka ya hivi karibuni vichache vyao vinamifumo mizuri mno ambayo kwa miaka ya mbeleni kipo kimojawapo kitatwaa mamlaka ya kuongoza nchi na sio siku za mbali ni hivi karibuni kama Sheikh Ponda anavyosema kwamba upinzani wanakaribia kuupata ushindi na hawapo mbali.

Kitakacho ipelekea CCM kufa mapema zaidi ni kuendelea kuamini juu ya siasa za mabavu ambapo baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho wamekuwa na wanaendelea kutoa matamshi hatarishi ambayo yanapelekea wananchi kuwa njia panda na kujiuliza hivi kweli hichi chama ndio kilitupatia uhuru 1961!.

Kwakumalizia ninauhakika Mwl Nyerere akifufuliwa sasa hivi na akaambiwa akisuke chama hichi cha Ccm upya kiwe kama zamani basi wengi wa wanachama wake wataishia Gerezani kutokana na makosa mbalimbali HASWA la uvunjwaji wa katiba na sheria.

N.B bado tunaihitaji CCM ila iwe mpya na ifuate misingi ambayo Mwl Nyerere aliijenga ili chama hicho kiwe msaada mkubwa kwa jamii bila hiana nitoe heko kwa Wanaccm wote wanaoamini siasa si uadui na wale wanaomini juu ya maridhiano na vyama vingine.
@abbastwalb
 
Nimefuatilia mwenendo wa chaguzi zetu kubwa kwa muda mrefu tokea tuanze kutumia mfumo wa vyama vingi vya siasa ili kupata viongozi mbalimbali wa ngazi za juu nikagundua miaka inavyozidi kwenda na kila chaguzi zinapozidi kusonga ndivyo hali ya chama chetu kilichotupa uhuru kinazidi kuangamia kipolepole.

Vyama vya upinzani vya miaka ya hivi karibuni vichache vyao vinamifumo mizuri mno ambayo kwa miaka ya mbeleni kipo kimojawapo kitatwaa mamlaka ya kuongoza nchi na sio siku za mbali ni hivi karibuni kama Sheikh Ponda anavyosema kwamba upinzani wanakaribia kuupata ushindi na hawapo mbali.

Kitakacho ipelekea CCM kufa mapema zaidi ni kuendelea kuamini juu ya siasa za mabavu ambapo baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho wamekuwa na wanaendelea kutoa matamshi hatarishi ambayo yanapelekea wananchi kuwa njia panda na kujiuliza hivi kweli hichi chama ndio kilitupatia uhuru 1961!.

Kwakumalizia ninauhakika Mwl Nyerere akifufuliwa sasa hivi na akaambiwa akisuke chama hichi cha Ccm upya kiwe kama zamani basi wengi wa wanachama wake wataishia Gerezani kutokana na makosa mbalimbali HASWA la uvunjwaji wa katiba na sheria.

N.B bado tunaihitaji CCM ila iwe mpya na ifuate misingi ambayo Mwl Nyerere aliijenga ili chama hicho kiwe msaada mkubwa kwa jamii bila hiana nitoe heko kwa Wanaccm wote wanaoamini siasa si uadui na wale wanaomini juu ya maridhiano na vyama vingine.
@abbastwalb
Ccm ni shetani kweli na ni lazima tukipinge kwa nguvu zote.
 
Hiki chama bila kukaa kando kamwe hakitakuja kujisahihisha! Kitaondoka kwa aibu na kitafia mbali kama KANU ya Kenya! Chama ambacho pumzi na nguvu yake ni pesa na vyombo vya dola hakiwezi kamwe kuwa na maono mapya! Maisha yake yatabakia kuwa ya kubahatisha, hawajuwi washike lipi waache lipi! Walisema kampeni za mwaka huu hawatatumia wasanii, lakini walipojaribu kuwasha mitambo bila wasanii, mitambo ikagoma! Wakawaangukia wasanii tena kwa idadi ya kutisha wakati wanayo bendi rasmi ya chama! Baada ya kununua viongozi na wanachama wa upinzani, wakajidanganya na kusema kampeni za mwaka huu zitakuwa nyepesi sana! Lakini mambo yamekuwa totaly different, Muziki wa Lissu umekaba pabaya!
 
Nimefuatilia mwenendo wa chaguzi zetu kubwa kwa muda mrefu tokea tuanze kutumia mfumo wa vyama vingi vya siasa ili kupata viongozi mbalimbali wa ngazi za juu nikagundua miaka inavyozidi kwenda na kila chaguzi zinapozidi kusonga ndivyo hali ya chama chetu kilichotupa uhuru kinazidi kuangamia kipolepole.

Vyama vya upinzani vya miaka ya hivi karibuni vichache vyao vinamifumo mizuri mno ambayo kwa miaka ya mbeleni kipo kimojawapo kitatwaa mamlaka ya kuongoza nchi na sio siku za mbali ni hivi karibuni kama Sheikh Ponda anavyosema kwamba upinzani wanakaribia kuupata ushindi na hawapo mbali.

Kitakacho ipelekea CCM kufa mapema zaidi ni kuendelea kuamini juu ya siasa za mabavu ambapo baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho wamekuwa na wanaendelea kutoa matamshi hatarishi ambayo yanapelekea wananchi kuwa njia panda na kujiuliza hivi kweli hichi chama ndio kilitupatia uhuru 1961!.

Kwakumalizia ninauhakika Mwl Nyerere akifufuliwa sasa hivi na akaambiwa akisuke chama hichi cha Ccm upya kiwe kama zamani basi wengi wa wanachama wake wataishia Gerezani kutokana na makosa mbalimbali HASWA la uvunjwaji wa katiba na sheria.

N.B bado tunaihitaji CCM ila iwe mpya na ifuate misingi ambayo Mwl Nyerere aliijenga ili chama hicho kiwe msaada mkubwa kwa jamii bila hiana nitoe heko kwa Wanaccm wote wanaoamini siasa si uadui na wale wanaomini juu ya maridhiano na vyama vingine.
@abbastwalb
Kife hata kesho tu
 
Nimefuatilia mwenendo wa chaguzi zetu kubwa kwa muda mrefu tokea tuanze kutumia mfumo wa vyama vingi vya siasa ili kupata viongozi mbalimbali wa ngazi za juu nikagundua miaka inavyozidi kwenda na kila chaguzi zinapozidi kusonga ndivyo hali ya chama chetu kilichotupa uhuru kinazidi kuangamia kipolepole.

Vyama vya upinzani vya miaka ya hivi karibuni vichache vyao vinamifumo mizuri mno ambayo kwa miaka ya mbeleni kipo kimojawapo kitatwaa mamlaka ya kuongoza nchi na sio siku za mbali ni hivi karibuni kama Sheikh Ponda anavyosema kwamba upinzani wanakaribia kuupata ushindi na hawapo mbali.

Kitakacho ipelekea CCM kufa mapema zaidi ni kuendelea kuamini juu ya siasa za mabavu ambapo baadhi ya viongozi na wanachama wa chama hicho wamekuwa na wanaendelea kutoa matamshi hatarishi ambayo yanapelekea wananchi kuwa njia panda na kujiuliza hivi kweli hichi chama ndio kilitupatia uhuru 1961!.

Kwakumalizia ninauhakika Mwl Nyerere akifufuliwa sasa hivi na akaambiwa akisuke chama hichi cha Ccm upya kiwe kama zamani basi wengi wa wanachama wake wataishia Gerezani kutokana na makosa mbalimbali HASWA la uvunjwaji wa katiba na sheria.

N.B bado tunaihitaji CCM ila iwe mpya na ifuate misingi ambayo Mwl Nyerere aliijenga ili chama hicho kiwe msaada mkubwa kwa jamii bila hiana nitoe heko kwa Wanaccm wote wanaoamini siasa si uadui na wale wanaomini juu ya maridhiano na vyama vingine.
@abbastwalb
HIZO RAMULI CHONGANISHI ZENU ZITAWAFIKISHA HADI UBERIGIJI. SISI TUTAMCHAGUA RAISI MWADILIFU AMBAYE NI MAGUFULI JEMADARI MKUU. SIO HUYO JAMAA MWONGO MWONGO.
 
Kumtoa Adadi Rajabu Muheza na kumuweka Mwana FA CCM mmechemka. Adadi alishinda kura za maoni. Amekua mbunge kwa miaka mitano lakini amefanya mengi.

Mwaka huu mnapoteza jimbo kijinga sana. Mwana FA hafahamiki Muheza. Adadi ni kaka wa watu wengi. Wengi wamesoma na wadogo zake na anasaidia wengi. Mjifunze kufuata kinachopendwa na wananchi si mnachopenda nyinyi.
 
Hii post inasubiri kupitiwa na Moderators ili iende kwa umma!
Sasa kama moderator ni pandikizi ujue hutoboi.
 
Chadema ofisi.jpg
 
Hoja muhimu sana hii,kuna mambo yanatakiwa yafanyike kuirudisha ccm mioyoni mwa watu mf kumuondolea rais kofia ya uenyekiti wa chama,hii itasaidia sana wabunge wa ccm kuikosoa serikali kwa nguvu zote hvy wananchi kuanza kuwa na imani nao tofauti na sasa wamekuwa waoga kweli,pili kuheshimu maoni ya wanachama wao has a ktk kipindi cha kura za maoni yule aliyepitishwa na wanachama aende hyo hyo tofauti na sasa unasubilia mpk magufulia aamue
 
Back
Top Bottom