Hupaswi kudanganywa mara mbili!

Hupaswi kudanganywa mara mbili!

Meseji fupi imeeleweka vizuri kabisa, hata vibuyu vya lumumba naamini watakuwa wameelewa vizuri kabisa.
 
Kuna Mgombea hali tete sasa Hadi Ameomba Sport Pesa waokoe jahazi kwa kutuma SMS
 
Waingereza wana msemo usemao:
"If you cheat me once, shame on you: If you cheat me twice, shame on me!!"

Anakuja mwanasiasa anakupa ahadi tamu unampa kura. Baada ya kupata madaraka anakataa makusudi kutekeleza ahadi hiyo tena wakati mwingine kwa kubadili maneno na kukana ahadi yake hiyo. Kisha miaka mitano inapoisha, anarudi tena kutoa ahadi ile ile!!

Nini kinachokuaminisha kuwa zamu hii ahadi hiyo itatekelezwa? Danganywa mara moja, ukikubali kudanganywa mara ya pili una matatizo wewe!

Wanasiasa wanatugeuza mazuzu kabisa. Inakera!!
Mitano kwanza

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Lisu anafaa kuwa mtetezi wa wapenzi wa jinsia mmoja, Sio rais waTanzania. Kwasasa hatuitaji laana ya Sodomama na Gomora.
Mbona hata sasa wapo wengi tu,na simlisema wenyewe wapenzi wa jinsia moja wapo salama Tz au? Na JPM akipata mitano tenaa atawanyoosha,
 
Ahaa..
Mtaji wao ni Ujinga wetu sisi Wenyewe.
Hii unamaanisha kwa herufi kubwa kabisa kuwa siku ya uchaguzi kama wewe sio mwajiriwa wa Chama cha mapinduzi CCM halafu ukaenda kituo cha kupigia kura na kuweka kwenye jina la mgombea Urais wa CCM umekubali kuwa MTAJI WA UJINGA KWA CCM?
Nakubaliana nawe. Tusiwe sehemu ya MTAJI UJINGA
 
Mbona hata sasa wapo wengi tu,na simlisema wenyewe wapenzi wa jinsia moja wapo salama Tz au? Na JPM akipata mitano tenaa atawanyoosha,
Amenyoosha wangapi wakati wa miaka hii mitano, au hawakuwepo?. Wanaanza kuwepo baada ya uchaguzi au??
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Wewe kenge,
Unafikili upinzani ni vyama au Chadema?
Upinzani ni WANANCHI,ili Upinzani usiwepo,inatakiwa uwauwe WANANCHI wote ubaki peke yako,
Je wananchi wa kipindi kile bado na fikra zilezile?
Miulize shemeji yako anayekufuga,atakupa majibu kwa ugumu anaoupata kuwahudumia wewe na Dada yako.
 
Nadhani hatujaelewana,sijamaanisha kunyoosha wapenzi wa jinsia moja,hilo haliwezekani kwakua walishasema wapo salama hapa tz! Yaan akipata mitano tena ugumu wa maisha utazidi mara dufu, utekaji,mauaji yataongezeka zaidii! Yaani kiburi chake kitakua mara tano ya alivyo sasa!
Amenyoosha wangapi wakati wa miaka hii mitano, au hawakuwepo?. Wanaanza kuwepo baada ya uchaguzi au??
 
Lisu anafaa kuwa mtetezi wa wapenzi wa jinsia mmoja, Sio rais waTanzania. Kwasasa hatuitaji laana ya Sodomama na Gomora.

Mzee wako angepiga nyeto tu siku hiyo, asingejuta milele.
 
Back
Top Bottom