Recent content by jtwentytwo

  1. J

    Niulize Chochote Kuhusu (CLINICAL NEDICINE)

    vipi kili chuo cha maswa nasikia kinatoa clinical assistant (CA) naomba maelezo yake please yaani kipo chini ya serikali au private
  2. J

    Siku ya WAZEE: Kisa cha Mzee wa miaka 94 aliyemsitiri JK Nyerere na kisha kutelekezwa na Serikali

    hahahahhahaahhahahahahahahahahahaha aiseeeee mkuuuuuu umetishaa u made my day today ad saiv na type uku nikichekaa kwa saut
  3. J

    Mahojiano na makahaba Arusha wakisema wanajifunza Kiingereza kuvutia wateja wa kigeni

    hahahahahhahahahha mkuuuu inaonesha imekutach sana adi nmejikuta nacheka kwa saut comment yako hahahahahhaha
  4. J

    Wimbo wa ‘Dikteta Uchwara’ waponza wawili

    hivi we jamaa kwa akili yako unadhania rais ndiee huwa anatuma maaskari wakawakamate wanaokashifu cheo cha rais na dignity yake??? haipo ivooo na ndioo mana katika serikali kuna kitu kinaitwa separation of power me sio mtaalam sana wa cicics ila wanaojua zaidi civics wanaelewa mana yake...
  5. J

    Nilichogundua kuhusu Arusha

    hahahahhahaha yaani chalii unatuombea kifo kiasi iko chalii sio vizuri ivooo chalii sisi sote ni watanzaniaa mwanza na arusha ni kitu kimoja maneno ya humu yasikujengee chukii jamaa....yanapita tu then life baadae inasonga kama kawa
  6. J

    Nilichogundua kuhusu Arusha

    hahahahaahahahaah broo me huwa nafuatiliaa sana thread zako yaani jinsi unavyotumiaa nguvu nyingi kuilinganishaa arushaa kwa mwanza me huwa nabaki nacheka tu
  7. J

    Nilichogundua kuhusu Arusha

    umeongea mambo mengi lakini umeongea mambo ya kitoto yote...hivi adi saiv kwa umri wako hujajua kutetea mji wako unaoishi ata kumshawishi mwekezaji aje awekeze??? kwa IQ yako tanzania na arusha kwa ujumla ina kazi ya ziada kama watu wake ndioo wanaupeo kama huu...eti mtaani unapishana na wazungu...
  8. J

    Nakumiss Mangwea

    umeitaja napokea umenifanya niitaftee saiv na niko na i play saiv it gives a lot of vibes ds hit
  9. J

    Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

    inaonesha unachuki binafsi na wazawa wa mwanza nlichogundua kutoka kwa comments zako.....sijui walikukwaza nn mkuu
  10. J

    Kwa hili la kukataa mwaliko wa Uingereza na kwenda Uganda, Rais sikuungi mkono

    wataendeleaa kukutawala kilaza wa fikra ww....tena fala
  11. J

    Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

    ndo ivoo victoire jibu tuhuma izooo.....duuuuuuh watu watukutu jmn hahahaaaaah
  12. J

    Kuvuja kwa siri ya kikao cha CC ya CCM mapema ni matokeo ya sera za Magufuli kiuongozi

    Magufuli achana na ccm hamia ata chadema rais wetu kipenzi cc tutakupigia kula tuuuuu 2020
Back
Top Bottom