Recent content by Jr Dc

  1. J

    Kwa bajeti ya milioni 5, nitapata gari gani zuri kama chombo cha usafiri

    Usihangaike sana kibonge ingia IG,FB na kwenye mitandao mingine utapata gari kulingana na bajeti yako la kuzingatia tu kuwa makini kuna gari ni kali kwa nje ila ukifatilia utasema uongezee chenji ununue used frm Japan
  2. J

    Harmonize ashutumiwa kuiba wimbo wa "Huo ni Ushamba"

    Wanakuja wazee wa kazi kunyamvua na kunyumbulisha kama ni kweli.
  3. J

    Kibomba cha maji ndiye adui mpya wa mahusiano yetu

    Dah hebu fanya uni DM twende sasa
  4. J

    Hii story imemtokea mwenzetu humu

    Jamaa kazima???????????? Kisa kusikia dem analiwa na baharia mwingine angefumania je??????
  5. J

    Hii story imemtokea mwenzetu humu

    Dah noma sana
  6. J

    Ungekuwa wewe ungefanyaje au ungejibuje kwenye hili?

    29yrs bro try to be mature,kama ni kusifia msifie sana, hata kama hajapendeza piga hata miruz,i ita majina yote mazur,i ila usifeli kupiga show kali kali ukiwa naye alafu msikilizie atakuwa anakwambia nn am out...…..
  7. J

    Roho inaniuma mpenzi wangu anataka tuachane kwa sababu hayaelewi maisha yangu

    That's true men,unaweza kufa kisa kupenda wanawake wakati huna uwezo wa kukaa naye na kutimiza mahitaji yake hata madogo madogo.
  8. J

    Ushauri kuhusu huyu mpenzi

    bro siku usafiri wako ,mashamba viwanja na nnamifugo, ukiwa hauna atahamia kwa mwingine,mwache ateseke kwanza ajifunze kuvumilia katika hali zote ila kama unataka kuwa sponser komaa na upendo wako udhani unapendwa kumbe njaa za mwenzio zimemfanya akutafute am sign out kazi kwako.
  9. J

    Nilivyolala na mke wa mtu baada ya kukutana safarini

    😂😂😂😂😂😂😂 KWELI MJOMBA HIKI SIO KIPENSELI
  10. J

    Ananifanyia vituko ila nikitaka kumuacha anatishia kujiua

    Mjomba unakwama wapi aiseeeee?? Unawezaje kuhudumia familia nzima kama umeoa? mwache ili afe vizuri wewe umefanywa mgodi wa kutoa pesa na matumizi siku ukiwa huna atakublock kabisa,alafu hata kama X alikuwa anakula Enzi hizo bado anatumiwa na picha? mjomba badilika bhasi achana naye kuna...
  11. J

    Umevunja ngapi kati ya hizi kumi?

    AMRI KUMI ZA MUNGU.
  12. J

    Sijui amenichukuliaje huyu dada?

    Mtumishi wa Mungu baada ya kufananishwa na kibaka ndio ukaona wigi la mrembo baya 😂😂😂😂 mabaharia hatukosagi kasoro tukizinguliwa pole sana baba mchungaji.
  13. J

    Kwa kitendo hiki haitoshi kuamini kwamba mpenzi wangu ananisaliti?

    Mkuu wewe haukuzoom na kusifia aliyezoom vizur akamsifia ikabidi akutumie labda utamsifia kuna boya anakula manzi yako Mjombaa
  14. J

    Imeniuma sana, mke wangu anatembea na baba yake mdogo

    Mzee Bullar unakwama wapi aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Yani kukwambia lazima agegendwe ili utulie bado unamg"ang"ania tu? hata kama ulimsomesha ulifanya mengi kwa ajili yake yeye alikuwa kwako sababu ya msaada wako na malipo ya...
  15. J

    Ushauri please, mke wangu simuelewi, nimemkuta anasagana na mama yake

    Uamuzi mzuri unao wewe, unachokifikilia ndio sahihi sisi hapa tunasema sana, ila fanya wewe kinachotoka moyoni ndio utakuwa na furaha na amani mkuu
Back
Top Bottom