Ameniboa Sana , mtu anashindwa kufikiri bana.Mimi nimefika nusu nikaacha kuendelea kusoma. Kiufupi huyo dem ndo kamtoa jamaa bikra sasa jamaa ukichukulia domo zege atapata wapi wa kufanana naye?
Wenzake walikufaga vita ya pili ya dunia, naona huyu alibahatika😀Acha tuu Kuna wanaume ni Tine Travellers kwa kweliii... Huyu aliishi enzi za Yesu hukoo
🤣🤣🙌Hujitambui wewe...umenisababishia hasira sana hadi natetemeka!!
Huyo mke mtarajiwa atakuja kukusumbua sana maishani iwapo utaendelea naye, ukiangalia yeye ana umri mkubwa kuliko wewe hivyo suala la ndoa kwake angelipa uzito mkubwa ukizingatia yeye ni wa jinsia ya kike.Nimeshindwa kumaliza hii story, ujinga uliopitiliza.
Haha unatamani upendo huo ungekuwa unaupata ain't you?Aisee kwel kuna watu wana mapenzi yao ya dhati