Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,937
- 25,279
Mwanamziki nguli wa muziki wa Bongo Flava, Harmonize ameshutumiwa na "wasanii wadogo" Lizu Dady na Phamo S kuiba idea ya wimbo wa wimbo wake mpya unaoitwa "huo ni ushamba".
Wasanii hao wanadai walitunga wimbo mapema wanaouita "upimbi", wimbo ambao unaendana wazo pamoja na kiitikio (Chorus). Wasanii hao wameonekana kulalamika na kutaka haki itendeke kwao.
Wasanii hao wanadai walitunga wimbo mapema wanaouita "upimbi", wimbo ambao unaendana wazo pamoja na kiitikio (Chorus). Wasanii hao wameonekana kulalamika na kutaka haki itendeke kwao.