Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,206
- 2,949
Ni sahihi pia mkuu unaweza kumuonyesha msimamo wako katika hilo ila nafikiri kumsifia kila Mara ni tiba tosha maana ukifanya mchezo atakuficha mengi, Bora huyo anaropoka utakua unajua baadhi ya vitu kumhusu hivyo utajua Ni sahihi kwako au laa!Daaah .. ila jioni nitamwambia kuwa namkubali sana na mzuri mnoo. Ila mambo ya kuniletea kila habari huo utoto unanikera