Recent content by JOSEPH555

  1. JOSEPH555

    Kiukweli nakwazika na watu wa Style hii .."Gari -Gali"

    Aisee, Jf Ni Tamu Sana kwangu, Watu Mko vizuri, Kuchambua Vitu, asanteni Sana.
  2. JOSEPH555

    Mbinu wanazotumia wadada kuchuna buzi mitandaoni

    Mbinu zote hizo, mimi naona mpumbavu ni mwanaume tu, Unaanzeje Kutoa hela ndefu Namna hiyo bila Kumuona mtu uso kwa uso, Haya ndiyo madhara ya mtu kuweka imani kwenye Picha, bila Kuonana na mhusika, Sikatai, Ni kweli ULaghai Upo, Lakini Mwingine Ni Wa Kijinga sana, yaani Kwenye Picha tu, mtu...
  3. JOSEPH555

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    MCHUNGAJI Gwajima Ni Kiboko!! Utafiti huu Sio wa Kitoto, Naunga hoja ya Mjumbe Aliyesema Anamkubali, Ni Sampo ya Aina yake. Ama Kweli Waswahili Wanasema UkilikoLoga Utalinywa.
  4. JOSEPH555

    Kumbe wanaume wanaolizwa na mapenzi bado wapo!

    Huyo Jamaa, Ni Kama Hakufikilia Kuwa Kuna Side B. Ya Mambo, Kitendo Cha Kulia Lia, Ni Upuuzi tu, Dunia ya Sasa Tunaishi kwa Tahadhari Sana, Hata ya Kitokea hayo Huwezi Changanyikiwa Sana.
  5. JOSEPH555

    Ni kwa nini Israel ina jeshi la kisasa zaidi kwa teknolojia duniani

    Mimi Nilitegemea Mnaofwata katika maada hii mngeeleza Jinsi mnavyojua, ILi Wengine tuelimike zaidi, Kuliko Kukashfu, Kwa sababu hata kama kakosea bado kuna faida ya kuileta mada mezani.
  6. JOSEPH555

    Hamna kitu kinachokera duniani kama kuwa na shemeji ambaye masikini na hana msaada na wewe

    Hao si walipendana wenyewe!! Mbona unaongea kama we we ndio mwanzo wa Mapenzi yao? Halafu kama Ni Pesa Hiyo laki Jiulize Kwa nini wewe huna,? Halafu unaonekana Umepoteza mwelekeo sana, yaani Unamlaumu mtu kwa nini hana Pesa!! Badala ya Kujicheki we we Kwanza ufanye nini Kwa sasa!! Ndugu YANGU...
  7. JOSEPH555

    Wimbi la Watanzani Kuongea pekee yao barabarani linakuwa kwa kasi

    Kweli Kabisa, Lakini kumbuka kuna Asilimia Kubwa hata zaidi 50% Ni Shida ya Ndoa.
  8. JOSEPH555

    Aina za majini na kazi zake

    Ndugu wana jf, Habari, Humu tunaelimika sana, tena sana, Matusi Na Kashfa sio mahala pake, Kama MTU huamini kitu njoo Na hoja, Kuna watu tunajifunza mengi Kupitia Huyu huyu mshana, japo hatujawa wepesi kutoa maoni, ila ukweli tunafaidika sana, Kama mtu ukinyamaza ILi wenye hoja Waje Utapungukiwa...
  9. JOSEPH555

    Hizi ndio sababu zinazomfanya Mzee Wassira "kung'ang'ania" ubunge wa Jimbo la Bunda

    Kweli Maisha Yetu Kuna Mambo Na Vitendawili Vya Ajabu Sana, Ambavyo Kutegua Ni Mpaka MTU Uwe Mnyenyekevu Kwa Mungu Na Kwa Wanadamu Pia, Ndipo Utatoboa, Ndugu wana Jf, Mshangao wangu Mkubwa Ni Juu ya Huo Mwaka 73-74 Mnaosema Mze alianza Kazi!!! Hivi Kweli Hamna Hata Kaakiba Aliko weka Kakumfanya...
  10. JOSEPH555

    Moses Machali aamua kurejea CCM. Adai CCM ya Magufuli si CCM ya zamani!

    Lo!! Hata Mimi Inanipa Shida Kuamini Kwa Jinsi Jamaa alivyokuwa Sirias Kukandamiza Mafisadi, ILa Kwa Sababu Na yeye Ni Mwanadamu, Inanibidi Niamini Japo nasubiri Uthibitisho, Time will tell, Cha muhimu Madam Kama anahamia upande wa pili kwa DhamiLa njema.
  11. JOSEPH555

    MAONI YANGU: Electoral Collage Haiwezi Kumuingiza Ikulu Hillary Dec. 19

    Kwa Mtazamo Wangu, Neno fupi Kabisa Ni Kwamba Kinacho Takwa hapo Ni Damu za Watu, Pili, Kuna Watu Wanajaribu Kujitoa Ufamu, Na Kuanza Kitikisa Mzinga Ulio Jaa nyuki, Kuona Hawa nyuki watafanya nini, Uchaguzi Umeisha!!!! Mwana Mieleka, Mtu Jasiri, Kamanda Kapita!!! Tena Katiba yoa wenyewe...
  12. JOSEPH555

    Mchungaji Anthony Lusokelo apinga ndoa za mke mmoja

    Ndugu Zangu wana Jf, Hajasema Hivyo Mnavyo dhania, Hata Mimi Nimesikiliza Mchana wa Leo J,pili, Alikuwa Anachanganua Life Style ya Uislaam Kwa Upande wa Wake Zaidi ya Mmoja, NA Ukristo Upande Wa Mke Mmoja, Akawa anaelezea Jinsi wake wa Wakristo Walivyo na Kiburi Kwa sababu yuko peke yake Kwa...
  13. JOSEPH555

    Trump na siasa za kuigawa dunia

    Huyu Jamaa Kidume, Ndio Raisi huyo, Wahusika wamechagua, Sera zake Mbona safi tu! Kama Kupinga Ushoga, ambao Obama alipoulizwa alisema Mimi siwezi Kuzuia Uhuru wa Watu, Hata hawa Madingi 2 wa Africa aliosema Waachie Madaraka mimi naona washughulikiwe tu, Sisi tumwombee tu, kama tunavyomwombea...
  14. JOSEPH555

    Mtoto wa kiume kusherekea siku ya kuzaliwa ni kosa?

    Binafsi Naona kama Haina maana, Nikifurahia Jambo naingia Chumbani kwangu Napiga magoti Namshukulu Mungu, Lakini hela ya Mchezo Kama sikukuu ya birthday, Sina, ILa Katika Uchunguzi wangu Mdogo Nimegundua kuwa Wengi wanaofanya Sikukuu Hii, Ni Watoto wa nyumbani, yaani namaanisha Wenye hela za...
Back
Top Bottom