Hansy wa East
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 447
- 230
Huu uzi ilitakiwa uulete ww maana nilegoogle karbia vyote ulivosema nimevikuta vipo sahh ila nina waswas mkuu hv ww sio mwamunyange kwel maana sio kwa clarification hiyo. Bt kujua kitu unachochangia raha sana sio wengne wanabaki kuleta ushabiki wa kidin hajui loloteSijawai kusikia israel katengeneza ndege zaid ya kununua vifaa vya kivita kwa makampuni ya Lookheed martin, Boeing Defense , Space & Security na Northrop Grumman shirika pekee la vifaa vya kijeshi ndani ya Israel ni Israel Aerospace Industries (IAI) hili ndio shirika pekee ndani ya israel wana deal na Aerospace ,Defence na Tech na walikuwa project Lavi mwaka 1980 project ya Lavi ambapo ni kutengeneza ndege za kijeshi project hyo ilikuja kushindwa mwaka 1987 baada ya bunge la israel kuachana nayo kutokana na bajeti ya program yani program cost kuwa kubwa sana ndio maana siku hizi kuna joint strike project kwa ajili ya kupunguza mzigo wa project cost
Hakuna ndege ya kijeshi mbayo hipo kwenye service mpaka sasa iliyotengenezwa Israel taasisi pekee iliyondani ya israel ni (IAI) ambayo kwa sasa inadeal na Aircraft maintenace na Aircraft upgrade hizi ni ndege za kiraia yani Business Aircraft
kampuni zote kubwa dunian za mambo ya kutengeneza vifaa vya kijeshi na mambo ya Tech za kjeshi hakuna hata moja ipo israel top 20 zote
1 Lockheed Martin Corp.
2 Northrop Grumman Corp.
3 Raytheon Co.
4 Boeing Co.
5 General Dynamics Corp
Hizo ni kampuni Tano kubwa za vifaa vya kijeshi na ulinzi umezungumzia gari la Unmanned Ground Vehicle (UGV) hiyo ni project ya Kampuni ya Lockheed Martin Corp. ya nchini USA , Israel mpaka leo bajeti ya nchi yao 50% inachangiwa na US na kila mwaka Israel wanapokea fund ya Us $ 4 billion kwa ajili ya jeshi pekee
Kitu kingne uchumi wa israel na sifa mnazoipa mbona haviendani???? kwa taarifa yenu South africa ni tajiri na inauchumi mkubwa kuliko israel Nigeria pia ina uchumi mkubwa kuliko israel kwenye nchi zenye nguvu za kijeshi Israel inaweza kuwa ya 6 au 7 hizo UAV zote za US ambazo ni MQ-1 Predator hyo kwenye picha yako na imetengenezwa na General Atomics Aeronautical Systems mwaka 1995 na kuna nyingne inaitwa MQ-9 Reaper ambazo ndizo zinatumiwa kufanya Ops kwa majeshi ya US na Israel hii MQ-9 Reaper ni kwa ajili ya Border Protection's