Mchungaji Anthony Lusokelo apinga ndoa za mke mmoja

Mchungaji Anthony Lusokelo apinga ndoa za mke mmoja

Ndugu Zangu wana Jf, Hajasema Hivyo Mnavyo dhania, Hata Mimi Nimesikiliza Mchana wa Leo J,pili, Alikuwa Anachanganua Life Style ya Uislaam Kwa Upande wa Wake Zaidi ya Mmoja, NA Ukristo Upande Wa Mke Mmoja, Akawa anaelezea Jinsi wake wa Wakristo Walivyo na Kiburi Kwa sababu yuko peke yake Kwa Mume, na pia Kisa Mume Haruhusiwi Kuongeza Mke, Akagusa pande zote Ubaya Na uzuri wake, kwa WaisLaam, Na Kwa Wakristo, Sasa Mtoa Maada Nadhani Bahati Mbaya Hapo Penye Michanga nuo Hukumuelewa Vizuri Mtumishi,
Maana Yule Jamaa Kama Utakumbuka Akasema Chanzo Kikuu cha Hawa Wake Zetu Kutoheshimu Waume zao Ni Kwa Sababu Wameacha Agizo La Waefeso 5:22 Ambapo andiko linasema Enyi wake Watiini Waume zenu- - -

Pia akasema, Mda mwingine wake wamekosa utii Kwa sababu ya Waume Nao Kutotimiza wajibu wao, ambapo Ni Awaefeso hiyo hiyo 5:25 enyi waume wapendeni wake zenu, - - - - -

Sasa akasema Ndio Maana Inaonekana Wana wake Wa Kiislaamu, Wana adabu Ni kwa Sababu akileta Ujinga Jamaa anahamia Kwingine, Akasema hawa wanaenda Kwa Mfumo wao wa Sheria,
 
Nisaidieni wadau nimejitahidi kumfuatilia sana jamaa lakini sijabahatika kumjua mkewe. Hata kwenye mahubiri yake sijawahi kusikia akizungumzia kuhusu mkewe. Kuna kipindi mwaka 2013 alikuwa anahojiwa kwenye kipindi cha mikasi katika kueleza habari za familia yake alijikanyaga kutaja majina ya watoto wake wanne. Kweli mtu unaweza kuchanganya majina ya wanao tena wanne tu???
Labda anaogopa kumtaja mkewe Grace na wanawe ili msiwaroge
 
Namwamini mwakasege tu
Wengine wote tupa kule
 
Msipende kuhukumu watu kwa kusikia...kakobe ni mtumishi mzuri wa Mungu,Ila yanayosemwa mtaani sio yanayotendeka kanisani kwake
Wewe unamzungumzia kakobe wa sasa,mie namzungumzia kakobe wa 90's yule aliyewavua wakina mama mikufu ya dhahabu etc
 
Reference yako sijaridhika kama ni kweli hayo maneno kayasema na alimaanisha.
 
kwani kuna shida gani kuoa wake wengi

ni Dhambi kivipi?
 
Nilichojifunza katika haya majadiliano ni kwamba kuwa mkristo inahitaji moyo sana.
 
Hivi kwanini hakuna mtu mwingine anayeongoza ibada kanisani kwake?
 
Dah....dem mmoja tu for the rest of Ur life??? NO big No[emoji13] [emoji13]
 
kwani utaratibu wa kuoa mke mmoja sio wa kikristo bali ni wakanisa kuna vitu viwili kanisa na ukristoo najua wengihawajanielewa
 
Mchepuko @ work
Swali la msingi la kujiuliza ni kwanini asibadili dini na kuwa Islamic
 
Back
Top Bottom