Recent content by Joseph Magnifico

  1. Joseph Magnifico

    Kwa wababe wa karate

    Wakawaida
  2. Joseph Magnifico

    Malawi Wako Serious | Karate

    Usiongee usichokijua
  3. Joseph Magnifico

    JamiiForums karate club

    Wazo zuri sana
  4. Joseph Magnifico

    Nimsaidieje huyu nguli wa mchezo wa karate?

    Afungue dojo. Alisajiri rasmi. Awe anafundisha
  5. Joseph Magnifico

    Swali Fikirishi: Je Tanzania tunapambana na nani DRC (EA)?

    We have answers but we don't see.... M23 walikimbilia Rwanda na Uganda Yo best friend/friends can be yo enemy/enemies Muse+Kaga+Jos=M23!?
  6. Joseph Magnifico

    Maoni mbalimbali kutoka kwa viongozi/mitandaoni baada ya Lazaro Nyalandu kujivua ubunge na kuomba kuhamia CHADEMA

    Ukihama CCM tu lazima uwe fisadi na ujulikane maovu yako yote. Yaani ukiwa ndani ya CCM hata ufanye nini utaonekana uko safi kabisa... Hata ukiitwa fisadi papa au nyangumi, yaani huna tatizo kabisa..... Hama sasa nenda nje ya CCM Wewe ni fisadi na utavuliwa nguo zote ulizovaa, utapachikwa...
  7. Joseph Magnifico

    Nahitaji mafunzo ya kung fu, karate, judo

    Karibu kwenye mafunzo lakini dojo lipo dar ubungo
  8. Joseph Magnifico

    Rais Magufuli atangaza kiama kwa mitandao ya simu

    Baba hili Lori la kisukuma liendeshe unavyotaka wewe sindo dereva kwa sasa ila hutusaidii unatutengenezea chuki na kutugawa
  9. Joseph Magnifico

    Msaada: Wanakofundisha Karate maeneo ya Tabata

    Alipata? Kama haukupata wasiliana nami
  10. Joseph Magnifico

    Mwalimu wa Karate, Anahitajika

    Kipindi cha mwezi mmoja ni vigumu kijana kuwa unavyofikiria, kwa sababu mwezi mmoja anajifunza miezi mitatu mpaka minne kama sio mitano hatafanya kitu. Lakini kuna madarasa ya holidays na weekend karibu
  11. Joseph Magnifico

    Ni style gani ya Karate inayofaa kwa self defence

    Kama utaamua kujifunza sanaa Fulani ya mapambano hakikisha unaisoma vizuri na kujifunza mbinu zake mbali mbali za kujilinda mwenyewe
  12. Joseph Magnifico

    Ni style gani ya Karate inayofaa kwa self defence

    Hakuna style bora au style dhaifu kwa sababu zote zina lengo moja. Wewe ndo unapaswa kuwa bora katika unachokifanya kupitia style unayochagua
  13. Joseph Magnifico

    Kisheria, Paul Makonda asipofika Kamati ya Maadili nini kitatokea?

    Hata 100% nikikupa nitakuwa nakuonea. +100% kwako
Back
Top Bottom