Ni style gani ya Karate inayofaa kwa self defence

taekwondo

Senior Member
Oct 6, 2016
127
215
kwa wale wajuz wa mambo ya karate naomba mnifahamishe hili..kuna style kama shaolin,taekwondo,wing chun,judo,Tai chi nk.je kati ya hizo ni ipi mtu akijifunza inaweza mfaa endapo atahitaj kujilinda pale anapovamiwa na watu kitaa..maana wanasema ngumi za ulingoni na mtaani ni vitu viwili tofauti.
 
Kwa uelewa wangu chochote utakachojifunza kati ya ulivyotaja kitakufaa kwani self defense haichagui pia swali lako hujaliweka vzur unazngumzia aina za michezo au style za karate
 
Kwa uelewa wangu chochote utakachojifunza kati ya ulivyotaja kitakufaa kwani self defense haichagui pia swali lako hujaliweka vzur unazngumzia aina za michezo au style za karate
style za karate mkuu.kuna watu nilisikia wakisema style nyingine ukijifunza..kwenye street fighting huwezi tumia.
 
kwa wale wajuz wa mambo ya karate naomba mnifahamishe hili..kuna style kama shaolin,taekwondo,wing chun,judo,Tai chi nk.je kati ya hizo ni ipi mtu akijifunza inaweza mfaa endapo atahitaj kujilinda pale anapovamiwa na watu kitaa..maana wanasema ngumi za ulingoni na mtaani ni vitu viwili tofauti.
Kama umeshapitiapitia hii michezo mambo hayabadiliki sana mkuu
 
kwa wale wajuz wa mambo ya karate naomba mnifahamishe hili..kuna style kama shaolin,taekwondo,wing chun,judo,Tai chi nk.je kati ya hizo ni ipi mtu akijifunza inaweza mfaa endapo atahitaj kujilinda pale anapovamiwa na watu kitaa..maana wanasema ngumi za ulingoni na mtaani ni vitu viwili tofauti.
Jeet Kune Do
 
Hakuna style bora au style dhaifu kwa sababu zote zina lengo moja. Wewe ndo unapaswa kuwa bora katika unachokifanya kupitia style unayochagua
 
Yoyote ambayo kwako umeiva zaidi basi hiyo hiyo itakufaa ila nyingine kuwa nazo makini uzitumiapo.
 
Mkuu street fighting sometine ni timingi ila kama self defence mi nafkiri achana na karate piga combart yaani ukitoa dozi moja kibaka anakaa harudi tena
 
Mkuu street fighting sometine ni timingi ila kama self defence mi nafkiri achana na karate piga combart yaani ukitoa dozi moja kibaka anakaa harudi tena
Hii ninzuri sana japokuwa naona inatumika zaidi majeshini mitaani sijaiona
 
Back
Top Bottom