C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Wakongwe habari zenu aisee wote tunajua kuwa maisha yamebadilika sana kutokana na pilika pilika za maisha utafutaji wa fedha watu tunakuwa busy sana kwani ukiangalia ratiba ya mtu ni nyumbani, kazini halafu nyumbani
ratiba hii inatoa fursa ya magonjwa kuanza kutunyemelea kwa sababu hatuna fursa ya kufanya mazoezi mbali mbali ya kijiweka fiti
lakini pia tunajua kuwa wengi hapa tunapenda zana michezo ya Karate na Martial Arts kwani
1) Inafanya mwili unakuwa fit
2) Inafanya mtu unakuwa mpole kwa kufundishwa upole
Katika hili naona nianze kuleta idea ya kutengeneza Club ya Karate ambapo tutakuwa tunakutana tunafanya mazoezi ya karate tutatafuta mwalimu mzuri (Narudia mwalimu mzuri) wa karate ambaye atakuwa anatufundisha
tutakuwa tunapanga ratiba ya karate ambayo tutakuwa tunakutana labda kwa wiki mara kadhaa
tutajisajiri na kujiunga na mashirikisho mengine ya karate kwa ajili kuja kutoa mada, madarasa na training mbalimbali
Wakongwe hii club ya karate itakuwa inawalimu wazuri, tutatafuta eneo zuri na rafiki kwa watu wa kariba yote kukutana na kujifunza
JF Karate Club nafikiri tuifanye kuwa ni club ya kipekee, iliyostaarabika, na mfano wetu uonyeshwe kwa jamnii
Naamini tutaweza
ratiba hii inatoa fursa ya magonjwa kuanza kutunyemelea kwa sababu hatuna fursa ya kufanya mazoezi mbali mbali ya kijiweka fiti
lakini pia tunajua kuwa wengi hapa tunapenda zana michezo ya Karate na Martial Arts kwani
1) Inafanya mwili unakuwa fit
2) Inafanya mtu unakuwa mpole kwa kufundishwa upole
Katika hili naona nianze kuleta idea ya kutengeneza Club ya Karate ambapo tutakuwa tunakutana tunafanya mazoezi ya karate tutatafuta mwalimu mzuri (Narudia mwalimu mzuri) wa karate ambaye atakuwa anatufundisha
tutakuwa tunapanga ratiba ya karate ambayo tutakuwa tunakutana labda kwa wiki mara kadhaa
tutajisajiri na kujiunga na mashirikisho mengine ya karate kwa ajili kuja kutoa mada, madarasa na training mbalimbali
Wakongwe hii club ya karate itakuwa inawalimu wazuri, tutatafuta eneo zuri na rafiki kwa watu wa kariba yote kukutana na kujifunza
JF Karate Club nafikiri tuifanye kuwa ni club ya kipekee, iliyostaarabika, na mfano wetu uonyeshwe kwa jamnii
Naamini tutaweza