Naamini kwamba Tanzania imejaliwa kuwa na dini mbili kuu na kila moja ikiwa na madhehebu kadhaa. Kwa upande wa dini ya kikristo ninayoijua zaidi kuna madhehebu mengi ikianzia KKKT, RC, Anglican, AG na ministries kama kwa Kakobe, Mwingira, Mzee wa Upako, Ndegi, Sloam, Agape kwa Fernandez. Naamini...