nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,927
- 1,342
hakika ukweli ndio huo.....thank U.ahahahahaha...wewe mtoa mada na ndugu buguruni munatatizo la kutoelewa nani ni muhusika wapi na nani akujibu swali lako
...ujenzi umekuwa hauendi katika speed inayotakiwa..speed inatakiwa na nani?? work programme inasemaje?..nani anatoa workprogramme kati ya wazee wa kanisa, waumini au mkandarasi?
...hela ya kutosha ipo ya kazi kuendelea....wewe ni mwanakamati ya ujenzi mpaka ujue hela ipo ya kutosha?..kutosha kujenga nini?...hicho kinachojengwa kipo nchini au kimeagizwa nje ya nchi na mkandarasi??...
Ujenzi umesimama kwa muda sasa na hatua hata ya kuweka madirisha haiendelei .....muda gani ujenzi umesimama?..workprogramme inasemaje?..mobilisation period ya mkandarasi ni muda gani...au unadhani ukishakuwa na pesa leo kesho ujenzi unaanza...style hiyo ni ya kujenga nyumba zetu za tandale na manzese
....na uongozi wa kanisa hausemi lolote......wewe ulitaka uongozi wa kanisa useme nini?..kwann hukuwauliza baada ya ibada ya jpili ilopita...au hakuna ubao wa matangazo ukasoma ripoti za maendeleo ya ujenzi wa kanisa....kuja kusemelea hapa JF ndio umepata jibu toka kwa viongozi?...acha unafiki na kuwa chanzo cha chokochoko na ugomvi usio na msingi katika usharika wetu.....jaribu pia kuulizia wataalamu wa mambo ya ujenzi na mikataba watakujibu ki-taalamu zaidi
..NI MAONI TUU