Naamini kwamba Tanzania imejaliwa kuwa na dini mbili kuu na kila moja ikiwa na madhehebu kadhaa. Kwa upande wa dini ya kikristo ninayoijua zaidi kuna madhehebu mengi ikianzia KKKT, RC, Anglican, AG na ministries kama kwa Kakobe, Mwingira, Mzee wa Upako, Ndegi, Sloam, Agape kwa Fernandez. Naamini wengi wanao uwezo kupitia roho kutambua mambo ambayo katika ulimwengu wa mwili ni vigumu.
Je kwa nini wasiweke kongamano la kufunga na kusali ili kutambua ukweli kupitia roho mtakatibu kuhusu yupi ni fisadi na yupi sie ili kuwaongoza waumini kutambua ukweli juu ya suala hili? Kinyume chake naona baadhi wakiwakumbatia watuhumiwa tunaelekea wapi
Je kwa nini wasiweke kongamano la kufunga na kusali ili kutambua ukweli kupitia roho mtakatibu kuhusu yupi ni fisadi na yupi sie ili kuwaongoza waumini kutambua ukweli juu ya suala hili? Kinyume chake naona baadhi wakiwakumbatia watuhumiwa tunaelekea wapi