je mh Rostam kaitema hii kampuni?
Sababu ya swali langu ni sababu hali ya kampuni kila kukicha inazidi kuwa tete
- Mshahara miezi zaidi ya miwili haijalipwa sasa?
- Madeni ya kodi yanazidi kuisumbua kampuni japokuwa naye aliiandika IPP lakini hali kwake ni tete zaidi na Majembe na TRA hutembelea mara kwa mara
- Wafanyakazi walio makini wameanza kutimka
- Dela uchapaji magazeti kule Jamana printers linaisumbua kampuni
-NSSF na PPF wanaikaba koo kampuni kudai makato ya wafanyakazi-
- Wadeni wengine naoi wako juu
ROSTAM VIPI? TOA MSIMAMO WAFANYAKAZI WANATAABIKA
Sababu ya swali langu ni sababu hali ya kampuni kila kukicha inazidi kuwa tete
- Mshahara miezi zaidi ya miwili haijalipwa sasa?
- Madeni ya kodi yanazidi kuisumbua kampuni japokuwa naye aliiandika IPP lakini hali kwake ni tete zaidi na Majembe na TRA hutembelea mara kwa mara
- Wafanyakazi walio makini wameanza kutimka
- Dela uchapaji magazeti kule Jamana printers linaisumbua kampuni
-NSSF na PPF wanaikaba koo kampuni kudai makato ya wafanyakazi-
- Wadeni wengine naoi wako juu
ROSTAM VIPI? TOA MSIMAMO WAFANYAKAZI WANATAABIKA