Recent content by Johnson Kazimoto

  1. Johnson Kazimoto

    NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

    Mkuu ebu nielekeze umefanyaje
  2. Johnson Kazimoto

    Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

    Kweli kabisa mkuu me nipo pamoja na wewe. Sasa sijui hao Nacte hawaoni watu wanavyo haha [emoji35] [emoji35]
  3. Johnson Kazimoto

    Ruge Mutahaba kubali kuwa mlikosea

    Clouds tv sahiv inaonekana nchi yingi za EastAfrica na nyinginezo kupitia dstv, sasa kwa jambo kama lile linaonyesha jamii ya Africa kwamba sisi Tz ndo tulivo ukizingatia kiswahili ni maarufu zahiv
  4. Johnson Kazimoto

    Kwanini uliachana na Ex wako? Tubadilishane uzoefu..

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] A to Z umetisha sana mkuu
  5. Johnson Kazimoto

    Kwanini uliachana na Ex wako? Tubadilishane uzoefu..

    Nimecheka sana [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  6. Johnson Kazimoto

    Hizi ndio ndege za Magufuli

    Nimekuelewa sana boss. Badala ya hizo mbili angenunua kubwa kama hiyo uliyoweka hapo juu
  7. Johnson Kazimoto

    Msaada

    Wakuu habari zenu. Naomba kwa yoyote anaejua au mwenye details zozote za NACHINGWEA SEC SCHOOL, kama vile comb zilizopo, picha za hapo shuleni na kama ni single au mixer school. Msaada wenu please!
  8. Johnson Kazimoto

    Mjadala: Kipi bora kati ya kwenda Chuo au Advance Level (Kidato cha Tano na cha sita) kwa mwanafuzi aliyemaliza Kidato cha Nne?

    Habari zenu wakubwa. Mimi naomba ushauri wenu nimeitimu kidato cha nne mwaka jana na nilipata division 2 nikiwa science na ninaufahuru ufatawo chem C, bios C, phy D, math D and so on. Niliomba Nacte, clinical officer ila bado post zao bado na za necta zimetoka nimepangiwa. Sasa sijui nifanyeje...
  9. Johnson Kazimoto

    Ladies, what do you wear in bed?

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] i have never hard something like that men
  10. Johnson Kazimoto

    Wema Sepetu na Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena waonekana kwenye picha hizi tata

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  11. Johnson Kazimoto

    Kikwete, Magufuli na mtu huyu wa tatu...

    Ki ukweli kabisa huyu mtu wa tatu ni ana nguvu zaidi ya raisi atakama leo hii anyone from JF akipewa uraisi still na yeye atafanya aliyofanya raisi msitafu na anayoyafanya sahivi Mr president. Na still mtu huyo wa tatu bado anawacontrol wote wanaokuja kwa nguvu na nia ya kutupeleka sehemu...
Back
Top Bottom