Dstv wanatoa huduma bora kuliko king'amuzi kingine chochote kile hapa Tanzania ila tatizo ni gharama zipo juu kupita kiasi.Kama utapingana na hili siwezi kukulaumu maana huenda hesabu kwako hazipandi
Kwa jinsi ninavyojua mimi kufanyakazi na selcom au max malipo inakupa faida mara tatu zaidi ya kuwa wakala wa mitandao ya simu.Maana hii kazi naijua vizur na ninauzoefu nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.