DStv iko poa sana nunueni msiogope

DStv iko poa sana nunueni msiogope

Mkuu punguza mzaha. Supersport zenye midoli aseee kaazi kweli kweli
Mkuu sasa kama ni ligi za Nigeria na Zambia si bora nilipe 18,000 Azam naona ligi kuu Italy, Spain, Tz, Club bingwa Africa etc? Maana hawa DSTV ukitaka kuwaenjoy vema sio kulipa kifurushi cha bomba, inabidi uchane msamba 16k si mchezo. Labda na kipato kinaku-favour mkuu
 
Mwanzoni nilikua naweka cha 19k nilikua nikilipia kabla kifurushi hakijaisha mara mbili mfululizo walikua wananipa ofa ya compact mwezi mzima, baadae nikanogewa so saizi nalipa cha 69k
Sawa
 
Kifurushi cha premier cha Dstv cha mwezi mmoja ni sawa na malipo ya kifurushi cha Azam pure mwaka mzima
Asante kwa taarifa mkuu.

Kuna watu bado watauliza kati ya dstv na azam ipi best?

Kizuri siku zote ni ghari.
 
Wewe shidah yako siyo Dstv unataka kutonyesha kuwa umenunua flat screen ya nchii 40 si ndiyo?[/QUOTE
Maneno ya fukara siku zote yako hivi.hataki mtu aseme kitu ambacho hana anaona kama anachabwa. Hopeless
 
Mwanzoni nilikua naweka cha 19k nilikua nikilipia kabla kifurushi hakijaisha mara mbili mfululizo walikua wananipa ofa ya compact mwezi mzima, baadae nikanogewa so saizi nalipa cha 69k
69k hapo kodi ya chumba hujalipa.
 
Dstv wanatoa huduma bora kuliko king'amuzi kingine chochote kile hapa Tanzania ila tatizo ni gharama zipo juu kupita kiasi.Kama utapingana na hili siwezi kukulaumu maana huenda hesabu kwako hazipandi
 
Acha kuendelea kuibiwa mkuu HAUTAKIWI kulipia 6000 ndio update local channels, zile unatakiwa upate bure bila kulipia kama walivyo to a mwongozo TCRA
Mkuu wewe unazipata local channels bure kwenye king'amuzi unachotumia baada ya lile tangazo la TCRA?
 
Mkuu nadhani sio uswahili bali upenzi pia. Kuna watu ni wanazi wa soka la bongo huwezi waambia chochote kuhusu Azam ila wale wa EPL mtauana kwa dstv yao. Hapo unakuta ni upenzi. Hivi sasa nimebaini kitu kingine kina mama ukiacha Sinema zetu kuna tamthilia fulani zinaoneshwa saa tatu usiku zimefsiriwa aisee ukibadili chanel unaweza tukanwa vibaya mno. Kumbuka Azam inauzwa 150,000 ila ndio madishi mengi mtaani watu wananunua mno maana yake kuna kitu wanapenda. Kimsingi dstv ni wakongwe na wako vizuri, Azam nachowakubali kwa sasa ndio kituo pekee kinachoonesha taarifa ya habari kwa ufanisi mkubwa sana, nimeacha kuona ITV kitambo baada ya kupata vitu tofauti kutoka Azam ikiwa ni matukio ya live ya ndani utaona picha nzuri. Kimsingi wanakuja vizuri.

Ila ukichukua ule ujimla DSTV wako vizuri, ila tukiangalia kwa issue za ndani ya nchi Azam anatubeba
Mkuu jua kitu kimoja tu,siku ukiweka azam decoder nyumbani kwako ujue ndio siku utakayopoteza haki zote za kushika remote kwa wanao na mkeo .maana wakitoka sinema zetu wana hamia siriya familia wakitoka hapo wako bentehi wakitoka bentehi wanaingia sijui jarmia .
Mi nina cable na azam lakini naangalia mambo yangu baa nikipewa kampani na savana!
 
Mkuu jua kitu kimoja tu,siku ukiweka azam decoder nyumbani kwako ujue ndio siku utakayopoteza haki zote za kushika remote kwa wanao na mkeo .maana wakitoka sinema zetu wana hamia siriya familia wakitoka hapo wako bentehi wakitoka bentehi wanaingia sijui jarmia .
Mi nina cable na azam lakini naangalia mambo yangu baa nikipewa kampani na savana!
Hahaha... Kweli kabisa. Haswa zile filamu za kihindi zilizowekewa maneno ya Kiswahili. Utaishia kugombea rimot na mkeo.
 
Hapana mkuu local channel zipo 6 ITV, CHANNEL 10, STAR TV, CLOUDS TV, TBC, TV E.
Mwongo!!! Nina dstv kwa miaka 4 sasa!! Sasa hivi kama kifurushi kikiisha local channel unayoona ni TBC tu!!! Hawa jamaa ni shida!!!! Kwa local channels hawafai,!!!
 
Back
Top Bottom