mkuu naomba utafute mafuta ya alizeti uwapake kwenye vidonda vyao. alielezea mkuu kubots kwenye uzi wake mojawapo. binafsi nilikata tamaa ila baada ya kuipata hiyo niliokoa kuku wengi sana. vipi unachanganya kuku na kanga? maana wao wanabeba huo ugonjwa
Mkuu ni shida. binafsi nilijua hali imeisha sikufikiri kama wangefika hapo. just assume mtoto wa mkulima ambaye baada ya kumaliza kidato cha nne wazazi walitaka kumuoza,kapata nafasi ya kuendelea mnamfukuza shule.laiti mngejua jinsi alivotoka kijijini na jinsi alivyowaanisha wengi kuwa hata...
Siku ya tukio nilikuwepo,ila nashindwa kuwaelewa walotoa hayo maamuzi . hali ya maji kondoa inafahamika, na ukiangalia wale watoto wana sababu za msingi.sitaki kuamini pia kuwa walotoa hayo maamuzi ndo wenye final say.suala la wao kuitisha press conference ni kuendelea kujifukuzisha shule...
inawezekana kabisa,kuna waliofanya diploma bila kwenda advance saiv wanaendelea na bachelor,wanakuwa wamesoma diploma zinazohusiana na education labda na uongozi,af wanaendelea. nina mfano wa jamaa aliyesoma kiivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.