Recent content by J'MWA

  1. J

    Watalamu naomba msaada kuku wanapukutika

    mkuu naomba utafute mafuta ya alizeti uwapake kwenye vidonda vyao. alielezea mkuu kubots kwenye uzi wake mojawapo. binafsi nilikata tamaa ila baada ya kuipata hiyo niliokoa kuku wengi sana. vipi unachanganya kuku na kanga? maana wao wanabeba huo ugonjwa
  2. J

    Waziri wa elimu wahurumie watoto hawa

    mkuu hakikwanza kuna watu hawajali kwenye hii nchi
  3. J

    Waziri wa elimu wahurumie watoto hawa

    Mkuu ni shida. binafsi nilijua hali imeisha sikufikiri kama wangefika hapo. just assume mtoto wa mkulima ambaye baada ya kumaliza kidato cha nne wazazi walitaka kumuoza,kapata nafasi ya kuendelea mnamfukuza shule.laiti mngejua jinsi alivotoka kijijini na jinsi alivyowaanisha wengi kuwa hata...
  4. J

    Waziri wa elimu wahurumie watoto hawa

    Siku ya tukio nilikuwepo,ila nashindwa kuwaelewa walotoa hayo maamuzi . hali ya maji kondoa inafahamika, na ukiangalia wale watoto wana sababu za msingi.sitaki kuamini pia kuwa walotoa hayo maamuzi ndo wenye final say.suala la wao kuitisha press conference ni kuendelea kujifukuzisha shule...
  5. J

    msaada 'pdf' inasumbua

    wakuu natumia nokia asha 201.nifanye nini ili niweze kusoma files ambazo ni pdf?
  6. J

    sijawahi kuonja ladha ya bamia. Nasikia ni tamu sana.

    ukileta ujinga unafanyiwa ujinga! kama ukijichunguza mtoa mada hutarudia kuandika utumbo!USIFIKIRI HUJAELEWEKA,UMEPUUZWA!
  7. J

    Nimemfuma katuma picha kwa Co-worker mwenzie

    shikamoo mwalimu wa physics
  8. J

    Wana JF nataka kufahamu....,

    inawezekana kabisa,kuna waliofanya diploma bila kwenda advance saiv wanaendelea na bachelor,wanakuwa wamesoma diploma zinazohusiana na education labda na uongozi,af wanaendelea. nina mfano wa jamaa aliyesoma kiivo
  9. J

    Huko ni kwa mme wangu!

    ZANZI ALCOHOL 18% V/V hahahahahaha
  10. J

    NMB waongeza kiwango cha mikopo kwa watumishi wa umma

    nimewatembelea leo nmb kwa mshahara wa mwl TGTS C wanatoa 8.5M,
Back
Top Bottom